Makapuku Forum

Makapuku Forum

IMG-20170705-WA0023.jpg
 
Nami nikajibu mwalimu aweza kuwa wa kisasa na mazingira.

Hapa nilimaanisha yule anayefundisha darasani kufuatisha mtaala wa kielimu inayokubaliki kiserikali.

Na pia wapo walimu ambao hawana vyeti vya ualimu lakini wanaujizi wa stadi tofauti, mfano ukulima, uvuvi uchongaji, uchoraji hawa ni walimu endapo utajifunza chini yao watakuonesha yale utakiwayo kufanya shughuli fulani.


Halafu kuna mwalimu mkuu, huyu ndo mkuu maana hata mwalimu wa zamu hakai ofisini mwake. Sawa sawa mkuu
Hapo ndo nimekuelewa... Ko hata mie ni mwalimu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom