Marekani yathibitisha kuwa makombora yaliyofanyiwa majaribio na Korea Kaskazini ni ya masafa marefu.
Viongozi wa nchi za Afrika wamaliza mkutano wao na kuazimia kukabiliana na matatizo yanayoliathiri.
Ripoti mpya ya shirika la Kuhudumia Watoto la Umoja wa Mataifa yaonesha kuwa watu milioni 12 Magharibi na Afrika ya kati wanakimbilia uhamishoni kila mwaka, nusu yao ikiwa ni watoto.
Duka kubwa katika ukanda wa Afrika Mashariki, Nakumatt, linakumbwa na misukosuko ya kifedha kusimamisha mchakato wa kuajiri wafanyakazi wapya, huku likitafuta jinsi ya kujinasua na upungufu wa fedha.AsanteWakuu mama mchungaji ashatupatia baraka mapema...Tuzidi kumuomba aliye juu
Soon UF na dondoo za bbc. ..

Huku kwetu watu wanalala kwenye mapipa na sijui ni asilimia ngapi,ila inanywewa!Mungu atusaidie tufahamu faida na hasara zake

Ndio tunakoelekea ..tupande miti itusaidie
Hahaha ,alikua nae karibu sana
Shuuuu!kwa hasira akaamua kumpoteza!
Ok!if you can't fight them join them..waliona mbali sana maana nestle ni brand kubwa sana kwa sasa na inatoa products nyingi ..
Asante kwa dondoo za BBC..Katika dondoo za bbc. ..
Marekani yathibitisha kuwa makombora yaliyofanyiwa majaribio na Korea Kaskazini ni ya masafa marefu.
Viongozi wa nchi za Afrika wamaliza mkutano wao na kuazimia kukabiliana na matatizo yanayoliathiri.
Ripoti mpya ya shirika la Kuhudumia Watoto la Umoja wa Mataifa yaonesha kuwa watu milioni 12 Magharibi na Afrika ya kati wanakimbilia uhamishoni kila mwaka, nusu yao ikiwa ni watoto.
Duka kubwa katika ukanda wa Afrika Mashariki, Nakumatt, linakumbwa na misukosuko ya kifedha kusimamisha mchakato wa kuajiri wafanyakazi wapya, huku likitafuta jinsi ya kujinasua na upungufu wa fedha.
Amen, Asante mama mchungaji kwa neno Ubarikiwe sanaMUNGU BABA MWENYEZI Asante kutuamsha salama,tutakase kwa damu takatifu ya mwanao,tuongoze,tufufundishe ,tusimamie tupe moyo safi tutende mema,tufanye kazi kwa bidii,tutengeze amani kwa gharama yoyote,tuchukuliane kwa upendo na tuwasamehe wanaotukosea kama wewe unavyotusamehe,tuepushe na hatari zote za mwili na roho.
Asante maana utatenda sawa na mapenzi yako,mapenzi yako yatimizwe katika jina la Yesu,AmenSIKU NJEMA MBARIKIWE
![]()
![]()
Morning LeeWakuu mama mchungaji ashatupatia baraka mapema...Tuzidi kumuomba aliye juu
Soon UF na dondoo za bbc. ..