Tumosa
JF-Expert Member
- Jul 21, 2016
- 16,527
- 52,623
Wap ndgu yngu![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
mke mwee na we tajiri pia
Wap ndgu yngu![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
mke mwee na we tajiri pia
Amnyakue demi kama vipiUsijal dingimtoto utapata na wewe au nyakua tu wa watu kama unaweza
Sawa....huna cha kufanya kazana sana kwenye migomba uipalilie wa mjini tule ndizi
Mke mweee ana kazi kwa kweli...haha ahahahah, huyu sio, wa Tukuyu anitwa Michelle.
Huyu yeye ni wa Mpanda mtaa wa makanyagio
Muwe na usiku mwema jamaan Damu ya Yesu iwalinde usiku wotepanapo majaaliwa kesho jamaan shunii anawapenda munooooo

Mke mwee nilisahau kwa lege dude limeamshwa episode ya 5 imeisha yote

Hbr ya nyingi kaka akeDada
Salama kbsa hofu kwakoAsante Dada habr yako
AmekimbiaAiseeee
Kwa nini hukuja na baby wako sasa

Njema za siku nyingiHbr ya nyingi kaka ake
Mimi wa tatuUko na mie
MkuuHello
Afadhali sisi tulioko KoromijeWewe na mimi mfuga bata
Wengine wote wanaishi Masaki Mbezi Beach na sehemu nyingine za kishua
Mi naishi Mabibo Mabwawa 7 halafu kuna wengine wapo Marekani ila chati na muda wanaoingia Jf haupo Kimarekani
![]()
![]()
![]()
........



Naam mkuuMkuu
Shemeji za usikuNjema za siku nyingi
Hongera kwa 230k