Makapuku Forum

Makapuku Forum

Wewe na mimi mfuga bata
Wengine wote wanaishi Masakibezi Beach na sehemu nyingine za kishua

Mi naishi Mabibo Mabwawa 7 halafu kuna wengine wapo Marekani ila chati na muda wanaoingia Jf haupo Kimarekani
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
........
Mi naishi zangu mabondeni huku jamaan [emoji23] [emoji23] basi masikini tunahesabika humu
 
Back
Top Bottom