Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,463
NdioUkinipigia nitaamini, je walala Njiro?
NdioUkinipigia nitaamini, je walala Njiro?
Nilikuwa Karatu, nimerudishwa gafla sana, nilipanga kukutafuta wiki hii,tarehe 15 nitakuwa arusha mjini nitakutafuta mkuuMkuu hufai wewe, umekuja hapa ukakausha na simu yangu unayo!
Haina taabu mai kaka nitashukuruHuyu ndo dakika chache ataisoma, mbona wanifahamu kwa hilo?
Yap, nipo njia panda nowMmmmh
Masaa mawili
Duuuh tapeli mpaka jfTapeli la JF aliyekuwa anaingia PM za wanaJf kuomba/kukopakopa 10k--30k Tsh kisha ndo inakuwa imetoka hiyo...alikuwa akipenda kusema kaka/dada naomba uniassist
Alipoona kishaharibu akaweka thread ya kuaga MMU zen siku chache baadaye watu wakamwaga nyongo na kila mtu kuduwaa maana alijenga urafiki na watu wengi
Naona katandikwa life ban au kaamua kusepa kimyakimya (avatar ipo ya banned)
Kibaya washikaji zake Mr Assist wote waliokuwa wanamtetea wamekula kina now humu JF wamejificha kama panya
Mwisho wa ubaya ni aibu
![]()
![]()
![]()
.......

Mtani huji town leo tuonane ingekuwa bora zaidiHuyu ndo dakika chache ataisoma, mbona wanifahamu kwa hilo?
Leo nina kazi nje kidogo ya mji lkn tuwasilianeMtani huji town leo tuonane ingekuwa bora zaidi
Mbona wamejaa teleDuuuh tapeli mpaka jf![]()
![]()
![]()
![]()
Sawa haina taabu boss wanguLeo nina kazi nje kidogo ya mji lkn tuwasiliane
Bado hujagusia lengo langu..Mbona wamejaa tele
Sema gia zao zinatofautiana
Kuna waganga feki
Madokta feki
Mafundi feki
Wafanyabiashara feki
Madadapoa,
Makakapoa n.k
Kila mtu yupo JF kwa lengo lake...wengine kutafuta pesa kwa halali,wengine umaarufu,wengine likes,wengine kutapeli,wengine kutafuta marafiki,wengine kutafuta wapenzi,wengine kutafuta maarifa,wengine kubadilishana mawazo,wengine kutukana watu,wengine wanatumikia wanasiasa
Wengine wapowapo tu hawana malengo yoyote
JF ni kichaka
.......


HAPPY BIRTHDAY MY DEAR CLKEY(BETTER LATE THAN NEVER MPENDWA WANGU)SIJUI NILIKUA WAPI....MUNGU AKUJALIE MAISHA MAREFU YA FURAHA NA AMANI UBARIKIWE MY DEARAmen
AsanteMorning family....
Leo katika Historia itawajia hivi punde tu.... Kwa udhamini mnono kabisa wa soka safi ya timu ya Ujerumani
APUMZIKE ANAPOSTAHILILeo katika Historia
3/7/1997 - Amado Carrillo Fuentes. Muuza madawa ya kulevya mashuhuri toka Mexico afariki Dunia.