Makapuku Forum

Makapuku Forum

Tapeli la JF aliyekuwa anaingia PM za wanaJf kuomba/kukopakopa 10k--30k Tsh kisha ndo inakuwa imetoka hiyo...alikuwa akipenda kusema kaka/dada naomba uniassist

Alipoona kishaharibu akaweka thread ya kuaga MMU zen siku chache baadaye watu wakamwaga nyongo na kila mtu kuduwaa maana alijenga urafiki na watu wengi
Naona katandikwa life ban au kaamua kusepa kimyakimya (avatar ipo ya banned)
Kibaya washikaji zake Mr Assist wote waliokuwa wanamtetea wamekula kina now humu JF wamejificha kama panya
Mwisho wa ubaya ni aibu

.......
Duuuh tapeli mpaka jf
 
Duuuh tapeli mpaka jf
Mbona wamejaa tele
Sema gia zao zinatofautiana
Kuna waganga feki
Madokta feki
Mafundi feki
Wafanyabiashara feki
Madadapoa,
Makakapoa n.k

Kila mtu yupo JF kwa lengo lake...wengine kutafuta pesa kwa halali,wengine umaarufu,wengine likes,wengine kutapeli,wengine kutafuta marafiki,wengine kutafuta wapenzi,wengine kutafuta maarifa,wengine kubadilishana mawazo,wengine kutukana watu,wengine wanatumikia wanasiasa
Wengine wapowapo tu hawana malengo yoyote
JF ni kichaka
.......
 
Mbona wamejaa tele
Sema gia zao zinatofautiana
Kuna waganga feki
Madokta feki
Mafundi feki
Wafanyabiashara feki
Madadapoa,
Makakapoa n.k

Kila mtu yupo JF kwa lengo lake...wengine kutafuta pesa kwa halali,wengine umaarufu,wengine likes,wengine kutapeli,wengine kutafuta marafiki,wengine kutafuta wapenzi,wengine kutafuta maarifa,wengine kubadilishana mawazo,wengine kutukana watu,wengine wanatumikia wanasiasa
Wengine wapowapo tu hawana malengo yoyote
JF ni kichaka
.......
Bado hujagusia lengo langu..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom