BlessedHope
JF-Expert Member
- Jan 29, 2016
- 7,988
- 32,649
Happy Birthday Godfrey WalusimbiLeo katika Historia
3/7/1989 - Godfrey Walusimbi. Mchezaji wa mpira wa Miguu toka Nchini Uganda anazaliwa.
Happy Birthday Godfrey WalusimbiLeo katika Historia
3/7/1989 - Godfrey Walusimbi. Mchezaji wa mpira wa Miguu toka Nchini Uganda anazaliwa.
Happy Birthday Winston ReidLeo katika Historia
3/7/1988 - Winston Reid amezaliwa.
Ni mwanasoka wa klabu ya West Ham na Timu ya Taifa ya New Zealand.
Wengine wapo wapo tuBado hujagusia lengo langu..![]()
Happy Birthday Sebastian VettelLeo katika Historia
3/7/1987 - Sebastian Vettel anazaliwa.
Ni mwendesha magari maarufu toka Ujerumani.
Polee mkuuShukrani mdau
Kipigo walichokipata Chile jana kilinifanya nilale kwa sura ya mnuno
.......
Kwema huko?huko kamanda
Waoooh tanx ma love,nilishangaa kweli nkasema umenisusaje hnyHAPPY BIRTHDAY MYBDEAR CLKEY(BETTER LATE TNA NEVER MPENDWA WANGU)SIJUI NILIKUA WAPI....MUNGU AKUJALIE MAISHA MAREFU YA FURAHA NA AMANI UBARIKIWE MY DEAR
Happy Birthday Roland SchoemanLeo katika Historia
3/7/1980 - Roland Schoeman. Muogeleaji kutoka nchini South Africa anazaliwa.
Happy Birthday Tom CruiseLeo katika Historia
3/7/1962 - Tom Cruise muigizaji nguli wa wa filamu toka Marekani anazaliwa.
Ni maarufu kwa filamu za Mission Impossible.
HahahaaaWengine wapo wapo tu
![]()
![]()
![]()
Nilikuwa hapa
Darasa la kupigilia pamba kijanja
Hebu cheki hapa mtu anatokwa povu....kisa?
Mtu nimemwambia hakuna uhusiano kati ya uvaaji wa mtu na pesa ila anakoroma tu labda anataka aonekane yeye ni mtu wa maana
JF bhana !!!

!Pole kwa kupinduliwa Mohamed MorsiLeo katika Historia
3/7/2013 - Mohamed Morsi Rais wa Misri anapinduliwa na Jeshi baada ya siku Nne za maandamano Nchi nzima.
Safari njemaYap, nipo njia panda now
Asante sana kwa historia naudhamini wa timu ya ujerumani mbarikiweKwa udhamini mnono kabisa wa Timu ya ujerumani leo katika Historia haina la ziada.
Niite Jimena Jimenes nawatakia siku njema yenye mafanikio na furaha tele.
Ciao !!!
Waoaji fekiBado hujagusia lengo langu..![]()
Asante, chakula hicho kwa wewe sawa, ila mimi hapana aisee, hasa hizo chipsView attachment 534616
Karibuni cha mchana wapendwa
Ubarikiwe mkuu asante kwa kututakia siku njema ,uwe na siku njema piaHabari za asubuhi wajanja wote mnaopatikana humu
Naona week nimeanza
Wale wa ofisini mpo ofisini
Wakulima wapo shambani
Wa kuchat wapo mtandaoni
Matapeli wapo kwenye assist zao
Yaani kila mtu na kwake
Niwatakie Jumatatu njema
.......
AsanteSafari njema
Mie Nafurahi tu kuona umekuwaWengine wapo wapo tu
![]()
![]()
![]()
Nilikuwa hapa
Darasa la kupigilia pamba kijanja
Hebu cheki hapa mtu anatokwa povu....kisa? Lengo lake ?
Mtu nimemwambia hakuna uhusiano kati ya uvaaji wa mtu na pesa ila anakoroma tu labda anataka aonekane yeye ni mtu wa maana
JF bhana !!!
.......
Hahahahaha utaagiza ugaliAsante, chakula hicho kwa wewe sawa, ila mimi hapana aisee, hasa hizo chips
Asante sana mpendwa kutuwazia mema ,Afya ni mtaji tuilindeAfya... UKWELI MCHUNGU...
Binadamu akishafika miaka 30 mwili wake unaanza kufifia... na karibia mfumo ( systems ) mingi sana ya mwili ndio huwa katika kilele cha ufanisi na baada ya hapo ndio huanza kupungua hadi kifo. kikawaida hata mtu asipougua kabisa, kuna umri seli zake hukoma kujigawanya ( kujizalisha )
na baada ya hapo inafatia mifumo kushindwa kufanya kazi na hatimaye kifo ( cha uzee )
uzee nao hauna miaka ... binadamu tunatoautiana kasi ya seli kugawanyika... hi inachangiwa na chakula...na mazingira...
nataka kukushauri kwamba ukishafikia miaka 30 anza kupunguza baadhi ya vitu vinavyochosha mwili... mfano vile na sigara...na machemichali ya ajabu ajabu...
#Thinking_loud