Makapuku Forum

Makapuku Forum

78129a829c0beb082993fd95391e1ca1.jpg
e6099c59c1de3521318a441ca457a5e9.jpg
Huyu jamaa alikuwa mfanyabiashara a.k.a Don mkubwa wa Juarez Cartel mara tu baada ya kumuua boss wake na kujitwalia ufalne
.......
I see
 
Ndo ukweli kila mtu anapenda kupendeza ila siyo kila mtu anajua kuvaa
Na uhusiano wowote kati ya uvaaji wa mtu na pesa......kujua kuvaa samtaimu ni kipaji tu au hobby
Ila najua kuignore
........
Kuna watu wana pesa na hawajui kuvaa mfano boss Wang anavaaga nguo hadi suruali inapauka makalioni
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom