Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 70,485
- 167,268
Bonjour papaa
Bonjour papaa
Usimjibu tena, mpuuze tuHuwa simjibu hata Mara moja ila Leo ndo nmemjibu tena nilimwambia ataninyanyasa hadi lini ama shida yake nn aseme hakujibu akaondoka
Bonjour PapaaBonjour papaa
Hongera kwa 229KHaya
Ukienda home Msalimie sanaa
Nani huyo?Usimjibu tena, mpuuze tu
LigiNinii
Ni story ya ClkeyNani huyo?
Nipooo shemejiHaaaaahaaaa, sakayo upo
Hahaha![]()
![]()
mnyonge tu
Tapeli la JF aliyekuwa anaingia PM za wanaJf kuomba/kukopakopa 10k--30k Tsh kisha ndo inakuwa imetoka hiyo...alikuwa akipenda kusema kaka/dada naomba uniassistIla hapa huwa sielewiii kabisa nini mnakimanishaa
HayaHongera kwa 229K
Hakika shemejiNipooo shemeji
Kuchepuka hakuwezi kumwacha mtu salama
Ray alikula ban kumbeTapeli la JF aliyekuwa anaingia PM za wanaJf kuomba/kukopakopa 10k--30k Tsh kisha ndo inakuwa imetoka hiyo...alikuwa akispenda kusema kaka/dada naomba uniassist
Alipoona kishaharibu akaweka thread ya kuaga MMU zen siku chache baadaye watu wakamwaga nyongo na kila mtu kuduwaa maana alijenga urafiki na watu wengi
Naona katandikwa life ban au akaamua kusepa kimyakimya (avatar ipo ya banned)
Kibaya washikaji zake Mr assist wote waliokuwa wanamtetea wamekula kina now humu JF wamejificha kama panya
Mwisho wa ubaya ni aibu
![]()
![]()
![]()
.......
Sina uhakika avatar yake ipo banned na last seen ipo ya mbali labda km avatar kuweka mwenyewe ila km ni ban basi nafikiri ni la maishaRay alikula ban kumbe
Fresh tu jombaHey wanafamilly mko pouw naisi mko pouwa wazeee nilikuwa nasema Kama kunamtu anataka Groap la michezooo anitafute WhatsApp mamba 0767344840
Dada
Nambie kakaanguDada