Ibrahim Msuya
JF-Expert Member
- Dec 13, 2014
- 572
- 1,264
Bitoz kiongoz tuweken mada mezan
Tuweke mada mezaniFresh tu jomba
......
Kuna niniSawa rafiki yangu
DaaaahSina uhakika avatar yake ipo banned na last seen ipo ya mbali labda km avatar kuweka mwenyewe ila km ni ban basi nafikiri ni la maisha
Ila km unavyojua hakuna anayeondoka moja kwa moja atakuwa yupo humu humu kwa ID nyingine anaanza kuitengeneza na kuifanya brand kisha tutasikia vilio tena
![]()
![]()
![]()
........
Aisee duhKama veve tuuu
Kaka niko Njiro
Bitozi cheaf ningependa tuweke mada mezani ili tujadili mm kama pendekezo langu cheafFresh tu jomba
......

NiniAisee duh
Nimechoka katabia chako, unajua spendi lakini wanilazimisha why?Kama veve tuuu
Kaka niko Njiro
Njiro ya muheza au arushaNini
HahahaNimechoka katabia chako, unajua spendi lakini wanilazimisha why?
Njiro ya Kakangu QNjiro ya muheza au arusha
Nimetoka hapo kontena kama masaa mawili hivi yaliyopita, naitafuta Dar sasa hiviNjiro ya Kakangu Q
Bitoz kakushauri vyema sanaMarafiki zangu naombeni mnisaidie kitu kimoja, kuna staff mwenzang ananinyanyasaga sana kazini wapendwa, karibia kila wakati, akileta kazi yake na matusi juu,nimevumilia lkn imefikia hatua nmechoka natamani hata kuacha kazi,nifanyeje basi jamani
Ukinipigia nitaamini, je walala Njiro?Hahaha
Nakuja kukuona ujue....
Jiandae hebu
Ahsante mtani, ila wa kiume angekuwa ke nngekupa tu nambaBitoz kakushauri vyema sana
Lskini ikiwezekana nipe nsmba yake nianze uhusiano naye ataniambia kila kitu. Je unahisi naweza ku win kwake?
Lengo langu sio uhusiano bali kujenga ukaribu naye na wadada muwapo kwa uhusiano huwa mnafunguka hadi ya uvunguni
Bitoz
Upo huru kijana siyo lazima niseme mimi tu hata wengine wanahusikaBitozi cheaf ningependa tuweke mada mezani ili tujadili mm kama pendekezo langu cheaf![]()
![]()
![]()
Mkuu hufai wewe, umekuja hapa ukakausha na simu yangu unayo!Nimetoka hapo kontena kama masaa mawili hivi yaliyopita, naitafuta Dar sasa hivi
Huyu ndo dakika chache ataisoma, mbona wanifahamu kwa hilo?Ahsante mtani, ila wa kiume angekuwa ke nngekupa tu namba
MmmmhNimetoka hapo kontena kama masaa mawili hivi yaliyopita, naitafuta Dar sasa hivi