Makapuku Forum

Makapuku Forum

54ac30d29aaba7180adec44843aaae7c.jpg


......... Chile walikuwa wazuri kabla ya mpira na bado wakauendeleza uzuri wa mjerumani ndani ya dakika 90 ....ubora wa kumiliki mpira kwa chile sio jambo la kushangaza ila cha kushangaza ni jinsi falsafa za Joachim zilivowasaidia vijana wake ambao waliingizwa wengi wakidhania kama utani vileee ....make kukikosaa kile kikosi originoo wengi tulishaanza kunungunika ...

Ujerumani na ubora wao uliojificha yaan hakuna tantalilaaa kibao ila wanachokifanya kimeanzia darasaniii....

Joachim Low Huyu ndiye mwenye ubora halisi wa mafanikio ya mwendelezo wa uwekezaji wa mpira wa Ujerumani mpaka sasa.

Achana na vipaji, umri lakini Wajerumani wanacheza mpira wao kwanza darasani kabla ya kuja kuumalizia uwanjani. Wamewafanya Chile waone mpira ni kazi ngumu sana lakini wao wanafanya mpira ni kitu kirahisi sana kama walivyoumaliza mchezo kiurahisi mno...

Best team so far.... Best technical bench

Sanchez na vidal wake walilipania hili kombe ila mipango ilifanikiwa wakati wakiwa dressing room kabla ya kufanya kweli ndani ya dimba ....make bao la dk ya 20 kudumu dakika 90 na kuwafanya watu wanyanyue makwapa unadhanii Wachile usingizi wameupata kweliii ???

Yote sawa ndo mpira ....Sanchez rudi kwa babu yako kashakumis
Chile walipaswa kugeuza formula yao
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom