Husna Muba
JF-Expert Member
- Jan 28, 2017
- 14,524
- 44,585
Mi sio chadema banaa
Mi sio chadema banaa
Sawa sijabisha ila kula kwanzaaKila mtu na starehe yake
Mimi mnazi wa soka
Tena kwa Man Utd naweza kucheki mechi msimu mzima labda tu inaposhindikana
......
Maana yake Amani /upendo au pamojaMi sio chadema banaa
Pamojaaaa ...Sikutegemea ushindi
Navuta muda tu hapa nasubiri game la wababe
Germany v Chile
Saa 21;00
Game likianza tu napotea
Kwa wale wa AzamTv mzigo utakuwepo KBC LIVE
........
Picha plzHata mm yaani hapa tunasherehekea ushindi
SawaaaMaana yake Amani /upendo au pamoja
Chadema walikopy tu
Aliwakomeshaaaa .......ndo huyu bhana alikuwa anaonesha kutoridhishwa na kodi alizokuwa anadaiwa na mamala ya usafir huko States (DMV) lizibeba kwenye matoroli matano kama sikosei. Ipo youtube ha ahahahaha, lakini sio fair kabisa but coins ni halali kwa malipo
nasikia walihesabuu wakachokaa
Sasa mpendwa hapo bitoz kaingiajee?! Aah...!!!
Usiseme hvyo basi jamaniWasikutie pressure tu
Waaaaooooh safi hyoSawa
Mimi na Clkey tupo kwa Sanchez
.....
Hahaha baadae kidogoPicha plz
Aiseeeee![]()
![]()
![]()
![]()
mm kwa itakayofunga
Mama mchungajiiiiiii.... ...Obe anakuita huku.Husna, mpendwa wangu mwenyewe, asante kwa maua.
Ushauri ulionipa pale juu naufanyia kazi ila ni ngumu kuutekeleza, najua naweza kufanya fake life, pretence. Lakini mwisho wa siku narudi kuwa me.
Usela, no, sio msela mimi sema napenda kuyafanya maisha yangu kuwa rahisi na yenye furaha.