Husna Muba
JF-Expert Member
- Jan 28, 2017
- 14,524
- 44,585
Mm piaNafurahi kukuona![]()
![]()
Mm piaNafurahi kukuona![]()
![]()
Kanitagg basi saa hzi na weekend hii ntaona bwanaNgomaa badooo mbichiiii ila pitia nilichoandika asubh alafu ona uzembe unaofanywa na chile
Mmmmmh!!!! Mama mchungaji anakupenda sana mpendwa sema ni hivi vistory vyako vya kiselasela ndio vinakuangusha
Unapofukuzia mwanamke angalia huyo mwanamke ni mtu Wa aina gani,_ex: km ni mchamungu basi na wewe itabidi na ww ujifananishe nae kuongea na vingine viendane na uchamungu
Sasa wewee mpendwa wangu km upo serious itabidi uact ulokole banaa
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
SMILE JESUS LOVES YOU

Jirani?Kanitagg basi saa hzi na weekend hii ntaona bwana

Ni mpenzi sana wa mizengwe itv, leo watanisamehe
mindala ya mkwere huitaki leo....tuaenda Tukuyu kwa Michelle, noo, anko wangu anaenda huko Tukuyu
safari ya kigamboni ileeee inaota mbawaWe acha tu chalii yangu kuwa shabiki wa mpira n inshu sanaJirani?
Mshakula kimoja mtu wangu![]()
Ahaaaaah ha ha ha ha ha haKanitagg basi saa hzi na weekend hii ntaona bwana
Kabisa, na hawana Kiungo mzuiajiAhaaaaah ha ha ha ha ha ha
Total football ya chile ndo inaendaa kuwaponzaa.
Vijana wanadamu inachemka na counter attack zitamliza chile hasipobadilikaa
Afu pia limedumu kwa muda mrefuHa ahahahahaha, duh! Hawa jamaa huwa nawakubali sana kila jumapili. Wanawweza kuwa ni kundi bora kabisa kwa vichekesho
Ni kweli aiseeAhaaaaah ha ha ha ha ha ha
Total football ya chile ndo inaendaa kuwaponzaa.
Vijana wanadamu inachemka na counter attack zitamliza chile hasipobadilikaa
Boraaa![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
mashabiki maandazi utawajua tu
Tunawajuaa msiopenda safari ya kigambon mpo wengii![]()
![]()
safari ya kigamboni ileeee inaota mbawa