Makapuku Forum

Makapuku Forum

206bd1238beda7851c1a17bb3bdb1fde.jpg

Wakuu nimeuza mbuzi na bata mwenye shida aje PM nimuassist
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
....

 
Wewe kunimisi mimi ni lazima ila niseme "tulimisiana" maana mi nilikumisi pia



[emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji259] [emoji259] [emoji259] [emoji259]


Husna, mpendwa wangu mwenyewe, asante kwa maua.

Ushauri ulionipa pale juu naufanyia kazi ila ni ngumu kuutekeleza, najua naweza kufanya fake life, pretence. Lakini mwisho wa siku narudi kuwa me.

Usela, no, sio msela mimi sema napenda kuyafanya maisha yangu kuwa rahisi na yenye furaha.
 
...anko yaani acha tu, na hivi safari ya kigamboni nimeitangaza basi wabaya wangu hawachelewi kuivunja.

Ila anko ule unyunyu yaani ndo ukaamua kuupulizia wote kwenye lile koti chafu😱, sasa nimeliona yaani linanukia sijui maapple au mafenesi
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Back
Top Bottom