BlessedHope
JF-Expert Member
- Jan 29, 2016
- 7,988
- 32,649
Mwweeeh!Safariii iko palee pale ...si ushamtimiziaa alichotaka ...kuhusu unyunyu nimekuibiaa kidogo ulivouachaa lile koti nimepulizia nkaweka kwenye begiii..ntakua natooa nguo inanukiaa
Mwweeeh!Safariii iko palee pale ...si ushamtimiziaa alichotaka ...kuhusu unyunyu nimekuibiaa kidogo ulivouachaa lile koti nimepulizia nkaweka kwenye begiii..ntakua natooa nguo inanukiaa
Aaah,hapana mimi nipo hapahapa .maisha haya ni mapito tu..yana mwisho tutatulia na watu hawaishi milele nao watapita tu
Hahaha...oh, akizidi kukataa katu katu, mwendee kwa mganga
Kumbe tunaokatiza pale Kigamboni tupp wengi![]()
Itakuwa tunapishana tu kibabe bila kujua
![]()
![]()
![]()
![]()
.......
Tunapigana na vikumbohahah! kumbe kwa kunena tu tunaweza kupiga hela!Unganeni muanzishe kanisa mtapiga hela
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
.....
Uko poaa madenge ...husna umemuwekaa wapJumapili ipo poa kabisa
...
Ni starehe hizohizo zilizompotezaHata mimi naupenda...hapa nilipo nipo kitandani...starehe...yaani Feruzi alitulia sijui yu wapi simsikii kabisa...
HBDLeo katika Historia
2/7/1987 - Esteban Granero kiungo wa zamani wa Real Madrid alizaliwa.
Pembe ndio gariKuna demu mpenda magari humu utasikia Baby I like your pembe
![]()
![]()
![]()
.......
hatari
Jamaa fundiiiLeo katika Historia
2/7/1990 - Danny Rose anazaliwa.
Ni beki wa kushoto wa Tottenham na timu ya taifa ya England.
Anzisheni huduma ya kiroho siyo mbayahahah! kumbe kwa kunena tu tunaweza kupiga hela!
AsanteeeAsante ni kwa kuwa pamoja nami kutoka meza ya historia... Niite Jimena Jimenes nawatakia mapumziko mema wote
Mmmh!Kama husna yuko offline jua wanabinyana tuu mida hzi
Asante kwa kutukumbukaaRelax baba d
Anachezea ndondoo...hivi Kichuya anachezea nchi gani? au nachanganya mambo hapa?
Asante mdau sana kwa magwazweti ya lweo, nimeyasoma kwa uzwuri kabusa