Makapuku Forum

Makapuku Forum

Leo katika Historia

2/7/1994 - Mchezaji Andres Escobar wa Colombia anapigwa risasi na kufariki huko kwao Colombia baada ya kujifunga goli kwenye kombe la Dunia na kusababisha timu yake itolewe kwenye mashindano.
 
Kwa mujibu wa kabudi miswada ya sheria ya madini haitahusu kampuni zinazoendelea
Je kuna kampuni mpya zimeingia ukiacha hizi zilizopewa mikataba ya kumiliki migodi yetu?
Kwa mtindo huu kinachofanyika ni maigizo tu kuhusu haya madini yetu
Hakuna vita ya uchumi wala baba yake na uchumi anayosema JPM
 
Leo katika Historia

2/7/1925 - Patrice Lumumba anazaliwa.
Alikuwa ni Waziri Mkuu wa kwanza wa Congo zamani Zaire.
Aliuwawa kikatili mwaka 1961 chini ya Dikteta Kanali Joseph Desire Mobutu
97a39e575ef7f23a2a6bd49b7b7c925b.jpg
ef75bdfc3ad492078801e9e0e928ca2c.jpg
437ae1e807eeca4da2bc1a4e3c4aa69a.jpg
Mmoja kati ya wapigania uhuru wa Kiafrika ...ndiye aliyepigania Congo ipate Uhuru kutoka kwa Wabelgiji
Ndiye Waziri Mkuu wa kwanza wa Congo kuchaguliwa kidemokrasia
Ndiye mwadisi wa Mouvement National Congolais {MNC}
4866df37297e9205037b0d0705411069.jpg
289cace46b3b81e4bf60239f86e314b2.jpg
Alifariki dunia Jan 17 1961 baada ya kutiwa korokoni na bwana yule (Mobutu) kisha kuteswa
.....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom