Makapuku Forum

Asante Obe
 
...ewaaa, hapa umenipa na nguvu ya kwenda kununua unyunyu😀 na maua zidisha kuyatuma mengine atunze kwenye furiji yasinyauke. Au tuma ya kichina yale ya plastiki
Hahaha nipo Machava
Sure, haya mapenzi ya kikapukukapuku huyawezi wewe, ndiyo vizuri na hata yeye hayawezi. kwa hiyo mko sambamba
...kwani mimi ninamtafutia? Na hata kama kumtafutia si angeweka tangazo kwanza? yeye kavutiwa na wewe na kawasilisha ujumbe wake kwako
 
Reactions: Obe
Hahaha Obeeee
 
ndugu zangu..! ni imani yangu wote mna enjoy jumapili hii njema kabisa..
wachawi kaeni mbali nina upako wa mtume Paul... oooh Allelujah Bwana Yesu asifiwe utukufu kwa Bwana, sifa na utukufu ni kwake..
natamani ninene kwa lugha lakini roho mtakatifu ananiambia hapana

mbarikiwe....!!
 
Ni vita kati ya wanaume na wavulana
Wachile wanatandaza ubabe uwanjani.....Wajerumani wao wanatandaza soka
Itakuwa ni mechi ngumu maana walishakutana hatua ya ma kundi na kisha 1:1 ila leolazima mmoja afungwe hata kwa penati
......
hapo mjerumani atampa mtu wiki... wale majamaa awapotezi nafasi golini
 
 

Unganeni muanzishe kanisa mtapiga hela


.....
 
Reactions: Obe

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…