Makapuku Forum

Makapuku Forum

Kwa mujibu wa kabudi miswada ya sheria ya madini haitahusu kampuni zinazoendelea
Je kuna kampuni mpya zimeingia ukiacha hizi zilizopewa mikataba ya kumiliki migodi yetu?
Kwa mtindo huu kinachofanyika ni maigizo tu kuhusu haya madini yetu
Hakuna vita ya uchumi wala baba yake na uchumi anayosema JPM
Wanasiasa sio watu wa kuwaamini
 
Leo katika Historia

2/7/1987 - Esteban Granero kiungo wa zamani wa Real Madrid alizaliwa.
003013cdaad846cc9711cd63845cc376.jpg
af356bc79fd907ffabde5855178a29d5.jpg
e91e19a1a0fe7e417e22212d66777a4b.jpg
 
Leo katika Historia

2/7/1999 - Mario Puzo anafariki Dunia.

Huyu ni mwandishi maarufu sana ambapo ameandika Riwaya maarufu za Godfather.
2ab625ae8e43c245ab2a984fd76652e4.jpg
be7f6ba6f52e140f3f19c0b2ae515259.jpg
2386954d93fb330a5d6fcac068cd6e67.jpg
1ecb88d171e3be0fd388b653eb78c838.jpg
960d6415b1ef23bac4353936cb041ed6.jpg

Alizaliwa Oktoba 15 1920
Alikuwa pia ni mwandishi wa habari na naandika script
The Godfather kilitoka mwaka 1969 ikiwa ni simulizi kuhusu MAFIA na kutikisa soko la vitabu vilivyo ....haikuishia hapo kikatumika kutengezea mfululizo wa filamu 3

Wabongo tupende kusoma vitabu kuna mambo matamu humo tena siku hizi vipi free tu mtandaoni ni wewe na banco lako tu
......
 
Sorry mkuu..Huyu sio yule aliyeletewa Bomu kwemye bahasha ndo akafa..au mimi ndo nimechanganya madesa..
97a39e575ef7f23a2a6bd49b7b7c925b.jpg
ef75bdfc3ad492078801e9e0e928ca2c.jpg
437ae1e807eeca4da2bc1a4e3c4aa69a.jpg
Mmoja kati ya wapigania uhuru wa Kiafrika ...ndiye aliyepigania Congo ipate Uhuru kutoka kwa Wabelgiji
Ndiye Waziri Mkuu wa kwanza wa Congo kuchaguliwa kidemokrasia
Ndiye mwadisi wa Mouvement National Congolais {MNC}
4866df37297e9205037b0d0705411069.jpg
289cace46b3b81e4bf60239f86e314b2.jpg
Alifariki dunia Jan 17 1961 baada ya kutiwa korokoni na bwana yule (Mobutu) kisha kuteswa
.....
 
Leo katika Historia

2/7/1994 - Mchezaji Andres Escobar wa Colombia anapigwa risasi na kufariki huko kwao Colombia baada ya kujifunga goli kwenye kombe la Dunia na kusababisha timu yake itolewe kwenye mashindano.
5352fbd4716cfb798ec733c270db3b19.jpg
d7054cb52bea4ec1d9bf5d60df431f15.jpg
eb5ee80eb906c9e4ddd050bb53f92f8a.jpg
7350c3c45caa3a800e8a757f0282ac7f.jpg

Ilikuwa ni kwenye Fainali za Kombe la Dunia 1994 nchini Marekani.....alijifunga goli lililopipa ushindi Marekani wa goli 2;1

Wazee wa kubet ndo waliomfanyizia.....kaa mbali na wacheza kamari
........
 
Sorry mkuu..Huyu sio yule aliyeletewa Bomu kwemye bahasha ndo akafa..au mimi ndo nimechanganya madesa..
Huyo atakuwa ni mwingine,
Kama picha ulivyoona

Mwaka 1960 baada ya Congo kupata uhuru tu ukatokea mvurugano jeshini Hivyo tuseme migogoro
Sasaumumba akaomba msaada kwa Marekani na ,Ubelgiji na Imoja wa Maarifa ili wamsaidie kupambana na waKatanga ila wote wakamkaushia tu
Akaenda kuimba msaada kwa Urusi(Soviet Union} Hivyo Wamarekani wakachukia ....Wakawatumia CIA ambao walishirikiana na Mobutu kummaliza
.........
 
Duuuh nisikuchoshe sana nitaingia chimbo nikafukunyue sise
Aisee maana history niliuosoma nahisi ni tofauti na yako..
Thanks.
-Mond-
Huyo atakuwa ni mwingine,
Kama picha ulivyoona

Mwaka 1960 baada ya Congo kupata uhuru tu ukatokea mvurugano jeshini Hivyo tuseme migogoro
Sasaumumba akaomba msaada kwa Marekani na ,Ubelgiji na Imoja wa Maarifa ili wamsaidie kupambana na wanaKatanga ila wote wakamkaushia tu
Akaenda kuimba msaada kwa Urusi(Soviet Union} Hivyo Wamarekani wakachukia ....Wakawatumia CIA ambao walishirikiana na Mobutu kummaliza
.........
 
Kwa mujibu wa kabudi miswada ya sheria ya madini haitahusu kampuni zinazoendelea
Je kuna kampuni mpya zimeingia ukiacha hizi zilizopewa mikataba ya kumiliki migodi yetu?
Kwa mtindo huu kinachofanyika ni maigizo tu kuhusu haya madini yetu
Hakuna vita ya uchumi wala baba yake na uchumi anayosema JPM
Hao ni wanasiasa
Watakuuliza kichwa bure mdau
Njoo tufuge tu bata

....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom