mzeewakungoa
JF-Expert Member
- Nov 26, 2016
- 4,969
- 13,920
Wanasiasa sio watu wa kuwaaminiKwa mujibu wa kabudi miswada ya sheria ya madini haitahusu kampuni zinazoendelea
Je kuna kampuni mpya zimeingia ukiacha hizi zilizopewa mikataba ya kumiliki migodi yetu?
Kwa mtindo huu kinachofanyika ni maigizo tu kuhusu haya madini yetu
Hakuna vita ya uchumi wala baba yake na uchumi anayosema JPM
Leo katika Historia
2/7/1987 - Esteban Granero kiungo wa zamani wa Real Madrid alizaliwa.
OwkeyAm good
Kupigana huko vipi...
Muda mwingine unatakiwa kuzuga ili watu wasisome alama za nyakati.... Ona sasa mpaka Bitoz kausoma mchezo
mimi kila siku 11 kamili niko macho, wakati huo magazeti yanakuwa bado hayajaingia kwenye systemYo look so good today... I like thatOwkey
Hahaha![]()
![]()
mimi kila siku 11 kamili niko macho, wakati huo magazeti yanakuwa bado hayajaingia kwenye system
Thank youYo look so good today... I like that
Leo katika Historia
2/7/1999 - Mario Puzo anafariki Dunia.
Huyu ni mwandishi maarufu sana ambapo ameandika Riwaya maarufu za Godfather.
Leo katika Historia
2/7/1990 - Danny Rose anazaliwa.
Ni beki wa kushoto wa Tottenham na timu ya taifa ya England.
![]()
Mmoja kati ya wapigania uhuru wa Kiafrika ...ndiye aliyepigania Congo ipate Uhuru kutoka kwa Wabelgiji![]()
Ndiye Waziri Mkuu wa kwanza wa Congo kuchaguliwa kidemokrasia
Ndiye mwadisi wa Mouvement National Congolais {MNC}
Alifariki dunia Jan 17 1961 baada ya kutiwa korokoni na bwana yule (Mobutu) kisha kuteswa![]()
.....
Leo katika Historia
2/7/1994 - Mchezaji Andres Escobar wa Colombia anapigwa risasi na kufariki huko kwao Colombia baada ya kujifunga goli kwenye kombe la Dunia na kusababisha timu yake itolewe kwenye mashindano.
Nitaanza kufanya hivyoHahaha
Si ungekuwa hata unatupiamo salam basi
Huyo atakuwa ni mwingine,Sorry mkuu..Huyu sio yule aliyeletewa Bomu kwemye bahasha ndo akafa..au mimi ndo nimechanganya madesa..
Huyo atakuwa ni mwingine,
Kama picha ulivyoona
Mwaka 1960 baada ya Congo kupata uhuru tu ukatokea mvurugano jeshini Hivyo tuseme migogoro
Sasaumumba akaomba msaada kwa Marekani na ,Ubelgiji na Imoja wa Maarifa ili wamsaidie kupambana na wanaKatanga ila wote wakamkaushia tu
Akaenda kuimba msaada kwa Urusi(Soviet Union} Hivyo Wamarekani wakachukia ....Wakawatumia CIA ambao walishirikiana na Mobutu kummaliza
.........
Hao ni wanasiasaKwa mujibu wa kabudi miswada ya sheria ya madini haitahusu kampuni zinazoendelea
Je kuna kampuni mpya zimeingia ukiacha hizi zilizopewa mikataba ya kumiliki migodi yetu?
Kwa mtindo huu kinachofanyika ni maigizo tu kuhusu haya madini yetu
Hakuna vita ya uchumi wala baba yake na uchumi anayosema JPM
Asante BlessedHope you are truly blessed kama jina lako nakupenda zaidi mama yanguLove you madame S, Mungu akubariki,nami nisamehe kwa lolote nilililokukosea ,nami sina ulilonikosea ..ubarikiwe
Will miss u too!Mbona unatoka baru bana..... Unajua tutakumiss sana.