Makapuku Forum

Makapuku Forum

Moyo wangu hauna mapenzi. Can't love anyone.


Oh! Some emotional stuff takes time to heal, najua utakuwa sawa na hutaandika tena hicho ulichoandika na hasa kama utampata mtu jasiri wa kukutamkia kwa maandishi kuwa anakutaka kwa uwazi bila kificho kama pilau makinikia.

Yaani Mondray hataki kuwa anyone bali someone kwako, kawa wazi kama ndege za bombadier, unazijua?
 
Shikamoo Obe..
Ukubwa Dawa.Najuta kukosa uwezo wa kujieleza mbele za watu..
Oh! Some emotional stuff takes time to heal, najua utakuwa sawa na hutaandika tena hicho ulichoandika na hasa kama utampata mtu jasiri wa kukutamkia kwa maandishi kuwa anakutaka kwa uwazi bila kificho kama pilau makinikia.

Yaani Mondray hataki kuwa anyone bali someone kwako, kawa wazi kama ndege za bombadier, unazijua?
 
Oh! Some emotional stuff takes time to heal, najua utakuwa sawa na hutaandika tena hicho ulichoandika na hasa kama utampata mtu jasiri wa kukutamkia kwa maandishi kuwa anakutaka kwa uwazi bila kificho kama pilau makinikia.

Yaani Mondray hataki kuwa anyone bali someone kwako, kawa wazi kama ndege za bombadier, unazijua?
Mikobaaa umeirithiiii haswaaa
 
Shikamoo Obe..
Ukubwa Dawa.Najuta kukosa uwezo wa kujieleza mbele za watu..


...huhitaji kuwa na uwezo wa kuongea mbele za watu, kwani unataka kuwa mbunge?

Hapa umejieleza kwa mtu, mtu mmoja tu tena mtu maalum uliyemdondokea! Kwa kuwa demi kasema hakufai ilhali wewe unasema anakufaa basi hapa ndo ile sheria ya sumaku inapokuja, like poles repel while unlike attracts. Mngekuwa mnatakana pamoja basi kusingekuwa na maana. sasa mmoja anamtaka mwenzie na mwenzie anaona hamfai, ukisikia mapenzi ndo haya sasa, nyie ni sumaku zisizofanana hivyo huvutiana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom