Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,463
SawaaaaDada unaongea tu sawa hainipunguzii lakini watu hawajui hivyo ila nilicheka na comment za kampelewele nimeshaitoa niliipenda tu
Asante kwa kunikosesha ubuyuu
SawaaaaDada unaongea tu sawa hainipunguzii lakini watu hawajui hivyo ila nilicheka na comment za kampelewele nimeshaitoa niliipenda tu
Hahahha halaf ujue watu walishaanza kula ban ungeondoka na wengi sanaSawaaaa
Asante kwa kunikosesha ubuyuu
Asante Obe Ubarikiwe,tutakutana kwa Maveteran kesho![]()
![]()
Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
Obe... Voda wanasema :"kazi ni kwako"Asante Obe Ubarikiwe,tutakutana kwa Maveteran kesho![]()
![]()
![]()
Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
Muziki: Ni Jumamosi Tulivu
Huwa hatuweki maneno Jumamosi, tunabaki kusoma ya kwenye kanga tu maana kila mmoja anakuwa ametulia nyumbani na kwa sisi tunaokaa kwenye nyumba za kupanga basi ni burudani tu, huku kunakaangwa nyama na biriani , hapa ndondo na tembele zote zikichagizwa na maneno mazuri ya kwenye kanga. Vitenge subiri mbio za mwenge ndo uvae.
Ni jumamosi wadau, nawasalimu sana na kiufupi wikend ndo inaisha hivyo. Umuhimu wako wewe kapuku hapa Jukwaani sina namna ya kuuelezea maneno yakatosheleza. Yaani ni nusu na robo jumlisha roba
Muziki sasa, leo turudi bakulutu kidogo. Nani hapendi muziki ambao ulikuwa ukipangiliwa sawia. Studio kubwa kama kiwanja cha mpira, sio studio za kileo ambazo kachumba kadogo tu kama tule tuvyumba twa pale Buguruni au Temeke basi studio inatosha kutoa muziki wa kina Diamond. Tuyaache haya usije uliza nimejuaje, hata Kigamboni si hutu tuvyumba pendwa tupo pale karibu na viwanja vya Shababi? Huwa naenda kupasha kama veteraani kwenye viwanja hivi, ondoa shaka. Ukitaka nitakupeleka, tunapasha Jumamosi asubuhi na Jpili.
Burudika na sauti-midundo mitamu ya wakongwe
Mie nilikuwa nasoma tuu.. Saivi ndo staili yanguHahahha halaf ujue watu walishaanza kula ban ungeondoka na wengi sana
Ahahah umekuwa bonny na bamdogo dabyMie nilikuwa nasoma tuu.. Saivi ndo staili yangu
Kichupa changu namtunzia mume
Karibu sanaHodi humu ndani
Kichupa changu namtunzia mume
KabisaaAhahah umekuwa bonny na bamdogo daby
ahahhaha naonaga like tu za bonnyKabisaa
Haya bwanaahahhaha naonaga like tu za bonny
Haya mapenzi yenu ya kikapukukapuku siyawezi mie. Mtafutie mke mwingine.....basi wewe kitunze ila muwezeshe yeye avunje chake. Ndo mazoezi kwa vitendo hayo ukisikia wanasema practical ndo hizo sasa.
Binamu asante sana jamaan yaan umeifurahisha roho yangu kigamboni kwa mama mchuchu tunaenda binamu we kaulambe tu
Haya mapenzi yenu ya kikapukukapuku siyawezi mie. Mtafutie mke mwingine..
Obe... Voda wanasema :"kazi ni kwako"
Ha haaa haya bwana! Namtakia kila la kheri apate hitaji la moyo wake!Sure, haya mapenzi ya kikapukukapuku huyawezi wewe, ndiyo vizuri na hata yeye hayawezi. kwa hiyo mko sambamba
...kwani mimi ninamtafutia? Na hata kama kumtafutia si angeweka tangazo kwanza? yeye kavutiwa na wewe na kawasilisha ujumbe wake kwako
Haya mapenzi yenu ya kikapukukapuku siyawezi mie. Mtafutie mke mwingine..
Ha haaa haya bwana! Namtakia kila la kheri apate hitaji la moyo wake!