Makapuku Forum

Makapuku Forum

56291136b1c2cdc797e6dcfb84e0ea48.jpg

..........
 
Mkuu kuna watu kadhaa ambao tunawasubiria hapa amaizing kwa ajili ya ufafanuzi fasaha kwa ile ya kilimo cha vitunguu pamoja na tikiti ila jambilo naye alisema tayari wameshafanyanga mradi unaofanana na huo ulishirikisha watu kutoka sehemu tofauti na akasema mpaka sasa wanaendelea vema na yeye aje atupe muongozo wake ila pia kuna youngblood alikuja na wazo la kulima karafuu na yeye angekuja atupe ufafanuzi wa kina juu ya hilo, Bila kumsahau Bitoz na yeye alikuja na wazo la tukifikia muafaka wa mradi tunaoutaka tunaweza kupatiwa pesa Bank kwa ajili ya uwekezaji huo so watu hawa yabidi waje then tuone ni watu wangap tumekuwa -interested tujue namna ya kuwasiliana kwa ajili ya kwenda mbele..
Labda mngetaka kujua nini kuhusu karafuu.
 
Labda mngetaka kujua nini kuhusu karafuu.
Mkuu nadhani ulitoa mchanganuo fulani kule mwanzo wa uwekezaji na faida zake...Labda sasa ungejaribu kueleza kama project hiyo ikipita wapi mashamba yatapatikana na ni vip usimamizi wake utakuwa maana wengi tutakuwa mbali mbali na msimu wake ni upi, Changamoto ni zipi na mambo kama hayo mkuu..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom