manuu
JF-Expert Member
- Apr 23, 2009
- 4,064
- 10,745
Nakukubali sana shemeji yangu..Usijali shemeji!
Nakukubali sana shemeji yangu..Usijali shemeji!
Asante kwa kuliona hilo.Hahahahaha lbda kashajua madhaifu yenu ndo mana anawaingia tu!!!
Salama shem, vipi hali yako ikoje?Habar ya jion?
Kivipi?Anazima moto kwa jirani wakati kwake kunaungua!!.
Ni kweli kabisa, kila mwanaume na mke wake.Thanx bae... Am gud
Time ya kujibebisha hii

Salama, tunamshukuru Mungu.shukrani mkuu, nina kiti tayari .. kwema lakini?
Wapi niliharibu wewee?Hapana shemeji.
Mimi huwa namchana live nikiona anaboronga!
Pole sana braza.Wakuu nitarudi badaye simu inazima chaji.
Pilipili usiyoila...Nakumbuka shemeji.
Ila mnanirusha roho balaa.
Wakuu nitarudi badaye simu inazima chaji.
Kama youngblood, sizzya007 na ibra87Heh!!!couples za makupuku zinastory flan amaizing km moja ya jina la wifi yetu humu!!hya single makapuku nikuchangia tu hahahaha!!!

Hahaa... Umeona eeeh!!??Hahahaha umeulizwa swali,cm ndo inazma chaji mkuu hahaha umenichekesha wanajua upweke wko ndo mana wanakuchokoza!!!!

Mkuu kuna watu kadhaa ambao tunawasubiria hapa amaizing kwa ajili ya ufafanuzi fasaha kwa ile ya kilimo cha vitunguu pamoja na tikiti ila jambilo naye alisema tayari wameshafanyanga mradi unaofanana na huo ulishirikisha watu kutoka sehemu tofauti na akasema mpaka sasa wanaendelea vema na yeye aje atupe muongozo wake ila pia kuna youngblood alikuja na wazo la kulima karafuu na yeye angekuja atupe ufafanuzi wa kina juu ya hilo, Bila kumsahau Bitoz na yeye alikuja na wazo la tukifikia muafaka wa mradi tunaoutaka tunaweza kupatiwa pesa Bank kwa ajili ya uwekezaji huo so watu hawa yabidi waje then tuone ni watu wangap tumekuwa -interested tujue namna ya kuwasiliana kwa ajili ya kwenda mbele..
Mkuu kuna watu kadhaa ambao tunawasubiria hapa amaizing kwa ajili ya ufafanuzi fasaha kwa ile ya kilimo cha vitunguu pamoja na tikiti ila jambilo naye alisema tayari wameshafanyanga mradi unaofanana na huo ulishirikisha watu kutoka sehemu tofauti na akasema mpaka sasa wanaendelea vema na yeye aje atupe muongozo wake ila pia kuna youngblood alikuja na wazo la kulima karafuu na yeye angekuja atupe ufafanuzi wa kina juu ya hilo, Bila kumsahau Bitoz na yeye alikuja na wazo la tukifikia muafaka wa mradi tunaoutaka tunaweza kupatiwa pesa Bank kwa ajili ya uwekezaji huo so watu hawa yabidi waje then tuone ni watu wangap tumekuwa -interested tujue namna ya kuwasiliana kwa ajili ya kwenda mbele..
Nini kinapikwa hivyoMshana jr kumbe na wewe unakujaga kututembelea karibu bhana dah inapendeza