Makapuku Forum

Makapuku Forum

c247fbda26e0cf9fed545be7207903d4.jpg
 
Leo katika historia

30/6/1937 Namba ya kwanza ya dharula (Emergency number) duniani yazinduliwa huko London Uingereza. Namba hiyo ilikuwa 999
fdbdc0af6ca06e687bc6ec5ad5815b19.jpg
73953858171edb9c249ff97f8823db00.jpg
Wiki moja baadaye yaani Julai 7 muhalifu wa kwanza akatiwa mbaroni na Polisi kwa msaada wa # hiyo ya dhsrura iliyopigwa na msamaria mwema

Enzi hizo Bongo simu labda walikuwa nazo wakoloni tu
.....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom