Makapuku Forum

Makapuku Forum

Wakuu wapenda kabumbu ....japo mkuu Nyagei amekuwa bize kutuhabarisha yanayojiri kule Russia lakini mambo yanazidi kuwa mambo ...kila timu inavuna ilichoingia nachooo .....ewaaaaaaaah matokeo ukwajuu kabisa kabisaaaa na kushangaaa kupoo ...
58385b9e8a153518330037e639303576.jpg


Juzi Chile walikuwa wa kwanza kutinga fainali ..wanastahilii haswaa ...ila huyu jamaa huyuu Alexis Sanchez ...ndo huyu kipenzi wa shululu na clkey wapenzi wa Arsenal ...

Mshahara kuanzia £270,000 mpaka £300,000 kwa wiki ni halali kabisa kwa Alexis Sanchez....... Kinachomfanya aishi chini ya hapo ni Imani ya kumpenda Mungu aliyonayo sambamba na kumuogopa babu Wenger tu.

Huyu jamaa ni mchezaji bora kabisa anayeishi maisha ya kawaida sana..... Amekuwa na kiwango kile kile akiwa na jezi ya Chile lakini pia amekuwa na kiwango kile kile akiwa na jezi ya Arsenal.

Huyu jamaa ana upepo wa hatari... Imani yake na uoga wake mwache aendelee kuishi maisha ya kawaida tu.

35c01787c383a3d3961c3adc356943c8.jpg



Ila na wewe Bravo kweliii bravooo kweli kweliiiii
14cbc2c41917c7a13c57bb6cb2b26df8.jpg
....

Kutolewa kwa Ureno yawezekana ilikushangaza lakini mpira ndo ulivo ...mpira unadundaaa ila ndo hivo ureno na C7 waoo bye bye japo Huyu usiku ulikuwa wa furaha kwakee ....

Twende sawa usichoke kapuku mwenzangu hii wala sio ngumu kumezaa ila time consuming ....ila yote sawa leo ni furahiiiisikuuuuu ....

Ninamuelewa sana Ronaldo ndani ya uwanja kama CR7 ila Bado sijabahatika kumuelewa nje ya uwanja kabisa kama Baba wa watoto watatu.

Kinachonifanya nimuelewe ndicho kilicho kufanya na wewe uelewe akiwa na jezi nambari 7 mgongoni na kuipeleka mipira nyavuni.

Kinachonifanya nisimwelewe ni namna au njia anazotumia kupata watoto..... Mpaka sasa ana watoto watatu, Christian Jr au Christianinho na hawa Mapacha wa sasa hivi Eva na Matteo...... Tangu kuzaliwa kwa mtoto wa kwanza Christian Ronaldo Jr mpaka Leo hajulikani Mama yake ila aliyehusika kubeba mimba sio Mama wa mtoto, yeye alilipwa tu kwaajili ya kubeba vitengeneza mimba vya wenzie (surrogate mother)...... Hawa Mapacha nao hali imekuwa vivyo hivyo Mama yao pia hajulikani baada ya Mama aliebeba mimba kujifungua na kulipwa fedha kwaajili ya kazi aliyopewa.

Situation hiyo ndiyo imeniacha na maswali mengi sana juu ya CR7 huyu huyu japo mpenzi wake wa sasa Georgina Rodriguez inasemekana ni mjamzito.

Wacha niendelee na research yangu labda ipo siku nitakuja kumwelewa kwanini anatumia wamama wa kukodi ili kubeba virutubisho vyao.... Christian vipi au haupigi kazi mzee ?.... Moja ya maswali ninayojiuliza kimya kimya.

Rafiki zangu madaktari najua kuna kitu mtaweza kuniweka sawa hapo kwa surrogate mother......
6de8a4fa960c190b4dc3a795a4be23ae.jpg


Tuachane na hayo ....

Usiku wa kuamkia leoo mpira ukadunda kama kawaida yake ...wengii wapeew ewaaaaaaah ikala kwaooo make Mexico promo alizopewaaa ziliwaingiza mapema fainali mapema kumbe wale vijana wa mjerumani wanawaza jumapili kuliko alhamis...
57a89a859796fc6872e312e57de684f7.jpg


Aiseeeeehhh, mtoto wa nyoka ni nyoka tu...... Wale wahenga sijui walijifunzia wapi misemo hii. Wajerumani walikuwa bora kuanzia kwa Ter Stegen, emri Can mpaka kwa Leon Goretzka. Mexico walikuwa wanacheza na mtoto wa nyoka tu nikawaza kama wangekuwa wanacheza na joka lenyewe sijui ingekuwaje.

Muller, Ozil, Boateng, Gotze, Neur, Khedira, Kroos, Reus, Gundogan, Sane, belarabi........

German 4-1 Mexico.

618efddc3c4d0ed995c7237fc9a77f78.jpg



Tuwe na siku njemaa
Mzee hata mimi simwelewi CR7 kuhusu maisha yake ila namwelewa tu kuhusu mpira wake
.....
 
NUKUU YA LEO

The United States must choose! It’s up to you whether the nation called the United States exists on this planet or not.”

Marekani inapaswa kuchagua, ni juu yake kama taifa linaloitwa Marekani liendelee kuwepo au lisiwepo

Haya ni maneno yaliyotamkwa na kiongozi wa chama cha worker's party of korea (WKP) na Rais wa Jamhuri ya watu wa Korea.

Kim Jung-un alizaliwa January 8 1984 wakati rekodi za wamarekani zinadai kim alizaliwa July 5 1984.

Kim jong-un ni mtoto wa pili wa mzee Kim jong-il alikuwa Rais na kufariki 2011.

Kim-jong un ana degree mbili , moja ya Fizikia na yingine ni mambo ya kijeshi.

Kim amekuwa na mvutano na kutokuelewana na Marekani na washirika zake kutokana na mpango wake wa kurutubisha na kuzalisha silaha za Nyuklia.

Week iliyopita waliwekewa vikwazo 14 na umoja wa Mataifa ikiwa ni pamoja na kufreeze assets zote za korea zilizoko nje ya korea, hati za kusafiria zimekatazwa pia.

Wakati huo huo marekani anataka kufanya mazungumzo na Korea kaskazini , japo korea amekataa ombi hilo



f3a76727f1ff62c8bad096a5136e124a.jpg

67b0e0ca750bc5e649bd9a9139a9ea17.jpg
b9dd045a9977f61fc1fa9cadbdb397bd.jpg


Kwa ufupi tuu wakuu..
8ea5a25592fc6f8a0814585beed680d2.jpg
Swaga za dogo mnyoa panki huwa zinanifurahisha na kunichekesha
Kagundua "hakuna vita" hivyo anajijenga kwa kupiga mikwara

.....
 
Leo katika Historia tarehe 30/6/2017 haina la ziada.

Ntakuwa sina shukrani ikiwa ntaacha kuwashukuru wadhamini wetu ambao ni Dar es Salaam Young African

Leo katika historia inakusanya kila kilicho chake...

Kumbuka basi ijumaa hii ya leo ulikuwa nami Jimena Jimenes ukipenda utaniita JJ
Mpaka wakati mwingine tena nawatakia weekend njema
T G I F
Barikiwa sana
 
Leo katika historia

30/6/1966 Mike Iron Tyson anazaliwa. Ni mmoja kati ya mabondia hodari kuwahi kutokea hapa duniani katika mchezo wa Masumbwi
68896f9d3e8488521a26e721faa0ef56.jpg
7be9685e3f44d149e0b7ffce4b411db4.jpg
4bd28fd3440d6dc72d2322eb5653f7ec.jpg
4cb3a1d8e4827cc64336991a60bec47e.jpg

Akishinda 7% ya mapambano yote aliyocheza kwa KO
Nakumbuka zaidi alipomng'ata sikio Evander Hollyfield baada ya kuona maji yamezidi unga na Hivyo harufu ya kichapo inanukia

Alivuna utajiri mkubwa kupitia ndondi ila leo hana kitu sababu kubwa ni tabia za kiswahili na starehe zilizopotiliza
Hata mswahili Floyd Mayweather Jr tusishangae akifilisika miaka ya mbeleni
.......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom