Makapuku Forum

Makapuku Forum

NUKUU YA LEO

The United States must choose! It’s up to you whether the nation called the United States exists on this planet or not.”

Marekani inapaswa kuchagua, ni juu yake kama taifa linaloitwa Marekani liendelee kuwepo au lisiwepo

Haya ni maneno yaliyotamkwa na kiongozi wa chama cha worker's party of korea (WKP) na Rais wa Jamhuri ya watu wa Korea.

Kim Jung-un alizaliwa January 8 1984 wakati rekodi za wamarekani zinadai kim alizaliwa July 5 1984.

Kim jong-un ni mtoto wa pili wa mzee Kim jong-il alikuwa Rais na kufariki 2011.

Kim-jong un ana degree mbili , moja ya Fizikia na yingine ni mambo ya kijeshi.

Kim amekuwa na mvutano na kutokuelewana na Marekani na washirika zake kutokana na mpango wake wa kurutubisha na kuzalisha silaha za Nyuklia.

Week iliyopita waliwekewa vikwazo 14 na umoja wa Mataifa ikiwa ni pamoja na kufreeze assets zote za korea zilizoko nje ya korea, hati za kusafiria zimekatazwa pia.

Wakati huo huo marekani anataka kufanya mazungumzo na Korea kaskazini , japo korea amekataa ombi hilo



f3a76727f1ff62c8bad096a5136e124a.jpg

67b0e0ca750bc5e649bd9a9139a9ea17.jpg
b9dd045a9977f61fc1fa9cadbdb397bd.jpg


Kwa ufupi tuu wakuu..
 
Leo katika Historia tarehe 30/6/2017 haina la ziada.

Ntakuwa sina shukrani ikiwa ntaacha kuwashukuru wadhamini wetu ambao ni Dar es Salaam Young African

Leo katika historia inakusanya kila kilicho chake...

Kumbuka basi ijumaa hii ya leo ulikuwa nami Jimena Jimenes ukipenda utaniita JJ
Mpaka wakati mwingine tena nawatakia weekend njema
T G I F
Asante kwa leo katika historia ankali JJ
 
Leo katika Historia tarehe 30/6/2017 haina la ziada.

Ntakuwa sina shukrani ikiwa ntaacha kuwashukuru wadhamini wetu ambao ni Dar es Salaam Young African

Leo katika historia inakusanya kila kilicho chake...

Kumbuka basi ijumaa hii ya leo ulikuwa nami Jimena Jimenes ukipenda utaniita JJ
Mpaka wakati mwingine tena nawatakia weekend njema
T G I F
Pamoja shemela..
 
Leo katika Historia tarehe 30/6/2017 haina la ziada.

Ntakuwa sina shukrani ikiwa ntaacha kuwashukuru wadhamini wetu ambao ni Dar es Salaam Young African

Leo katika historia inakusanya kila kilicho chake...

Kumbuka basi ijumaa hii ya leo ulikuwa nami Jimena Jimenes ukipenda utaniita JJ
Mpaka wakati mwingine tena nawatakia weekend njema
T G I F
Asantee JJ kwa historia ...ila udhamini huo

2555edef47f9ba29ff3d10d946717838.jpg


Mradi wa kufuga vyuraa naona unashamiliiii
 
NUKUU YA LEO

The United States must choose! It’s up to you whether the nation called the United States exists on this planet or not.”

Marekani inapaswa kuchagua, ni juu yake kama taifa linaloitwa Marekani liendelee kuwepo au lisiwepo

Haya ni maneno yaliyotamkwa na kiongozi wa chama cha worker's party of korea (WKP) na Rais wa Jamhuri ya watu wa Korea.

Kim Jung-un alizaliwa January 8 1984 wakati rekodi za wamarekani zinadai kim alizaliwa July 5 1984.

Kim jong-un ni mtoto wa pili wa mzee Kim jong-il alikuwa Rais na kufariki 2011.

Kim-jong un ana degree mbili , moja ya Fizikia na yingine ni mambo ya kijeshi.

Kim amekuwa na mvutano na kutokuelewana na Marekani na washirika zake kutokana na mpango wake wa kurutubisha na kuzalisha silaha za Nyuklia.

Week iliyopita waliwekewa vikwazo 14 na umoja wa Mataifa ikiwa ni pamoja na kufreeze assets zote za korea zilizoko nje ya korea, hati za kusafiria zimekatazwa pia.

Wakati huo huo marekani anataka kufanya mazungumzo na Korea kaskazini , japo korea amekataa ombi hilo



f3a76727f1ff62c8bad096a5136e124a.jpg

67b0e0ca750bc5e649bd9a9139a9ea17.jpg
b9dd045a9977f61fc1fa9cadbdb397bd.jpg


Kwa ufupi tuu wakuu..
Asantee mkuu
 
Leo katika Historia tarehe 30/6/2017 haina la ziada.

Ntakuwa sina shukrani ikiwa ntaacha kuwashukuru wadhamini wetu ambao ni Dar es Salaam Young African

Leo katika historia inakusanya kila kilicho chake...

Kumbuka basi ijumaa hii ya leo ulikuwa nami Jimena Jimenes ukipenda utaniita JJ
Mpaka wakati mwingine tena nawatakia weekend njema
T G I F
Asante sana Jj
 
NUKUU YA LEO

The United States must choose! It’s up to you whether the nation called the United States exists on this planet or not.”

Marekani inapaswa kuchagua, ni juu yake kama taifa linaloitwa Marekani liendelee kuwepo au lisiwepo

Haya ni maneno yaliyotamkwa na kiongozi wa chama cha worker's party of korea (WKP) na Rais wa Jamhuri ya watu wa Korea.

Kim Jung-un alizaliwa January 8 1984 wakati rekodi za wamarekani zinadai kim alizaliwa July 5 1984.

Kim jong-un ni mtoto wa pili wa mzee Kim jong-il alikuwa Rais na kufariki 2011.

Kim-jong un ana degree mbili , moja ya Fizikia na yingine ni mambo ya kijeshi.

Kim amekuwa na mvutano na kutokuelewana na Marekani na washirika zake kutokana na mpango wake wa kurutubisha na kuzalisha silaha za Nyuklia.

Week iliyopita waliwekewa vikwazo 14 na umoja wa Mataifa ikiwa ni pamoja na kufreeze assets zote za korea zilizoko nje ya korea, hati za kusafiria zimekatazwa pia.

Wakati huo huo marekani anataka kufanya mazungumzo na Korea kaskazini , japo korea amekataa ombi hilo



f3a76727f1ff62c8bad096a5136e124a.jpg

67b0e0ca750bc5e649bd9a9139a9ea17.jpg
b9dd045a9977f61fc1fa9cadbdb397bd.jpg


Kwa ufupi tuu wakuu..
Asantee kamanda na mm leo nimejitoa ufahamu nione kinachoandikwaa na hili gazeti la kila siku ....na wewe pitiaa

3c1c7ae7a653342f4e6bb0709e0dbecd.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom