Jimena
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 25,935
- 96,100
Nikiwa na afya na nguvu teleooh umewasili jimena
Morning jmn
Nikiwa na afya na nguvu teleooh umewasili jimena
Morning jmn
HBD GaryLeo katika historia
30/6/1965 Gary Pallister anazaliwa.
Huyu ni mchezaji wa zamani wa Man United na timu ya Taifa ya Uingereza. Alikua akichezea nafasi ya beki
Happy birthdayLeo katika Historia
30/6/1985 mwanamuziki T Pain wa kutoka nchini Marekani amezaliwa
HBD MikeLeo katika historia
30/6/1966 Mike Iron Tyson anazaliwa. Ni mmoja kati ya mabondia hodari kuwahi kutokea hapa duniani katika mchezo wa Masumbwi
Asante sana kwa magazeti ankaliUlishaisoma au bado
Asante kwa leo katika historia ankali JJLeo katika Historia tarehe 30/6/2017 haina la ziada.
Ntakuwa sina shukrani ikiwa ntaacha kuwashukuru wadhamini wetu ambao ni Dar es Salaam Young African
Leo katika historia inakusanya kila kilicho chake...
Kumbuka basi ijumaa hii ya leo ulikuwa nami Jimena Jimenes ukipenda utaniita JJ
Mpaka wakati mwingine tena nawatakia weekend njema
T G I F
Pamoja shemela..Leo katika Historia tarehe 30/6/2017 haina la ziada.
Ntakuwa sina shukrani ikiwa ntaacha kuwashukuru wadhamini wetu ambao ni Dar es Salaam Young African
Leo katika historia inakusanya kila kilicho chake...
Kumbuka basi ijumaa hii ya leo ulikuwa nami Jimena Jimenes ukipenda utaniita JJ
Mpaka wakati mwingine tena nawatakia weekend njema
T G I F
Asantee JJ kwa historia ...ila udhamini huoLeo katika Historia tarehe 30/6/2017 haina la ziada.
Ntakuwa sina shukrani ikiwa ntaacha kuwashukuru wadhamini wetu ambao ni Dar es Salaam Young African
Leo katika historia inakusanya kila kilicho chake...
Kumbuka basi ijumaa hii ya leo ulikuwa nami Jimena Jimenes ukipenda utaniita JJ
Mpaka wakati mwingine tena nawatakia weekend njema
T G I F
Pamoja sana ankaliAsante sana kwa magazeti ankali
Kuna Nukuu nimetupia hapo juuNishalipataaa kiu gazeti pendwa kwa wapenzi wa drama za korea![]()
![]()
![]()
![]()
Amen, nimefurahi sana kusikia hivyo, siku yako iwe ya amani sanaNikiwa na afya na nguvu tele
Asantee mkuuNUKUU YA LEO
The United States must choose! It’s up to you whether the nation called the United States exists on this planet or not.”
Marekani inapaswa kuchagua, ni juu yake kama taifa linaloitwa Marekani liendelee kuwepo au lisiwepo
Haya ni maneno yaliyotamkwa na kiongozi wa chama cha worker's party of korea (WKP) na Rais wa Jamhuri ya watu wa Korea.
Kim Jung-un alizaliwa January 8 1984 wakati rekodi za wamarekani zinadai kim alizaliwa July 5 1984.
Kim jong-un ni mtoto wa pili wa mzee Kim jong-il alikuwa Rais na kufariki 2011.
Kim-jong un ana degree mbili , moja ya Fizikia na yingine ni mambo ya kijeshi.
Kim amekuwa na mvutano na kutokuelewana na Marekani na washirika zake kutokana na mpango wake wa kurutubisha na kuzalisha silaha za Nyuklia.
Week iliyopita waliwekewa vikwazo 14 na umoja wa Mataifa ikiwa ni pamoja na kufreeze assets zote za korea zilizoko nje ya korea, hati za kusafiria zimekatazwa pia.
Wakati huo huo marekani anataka kufanya mazungumzo na Korea kaskazini , japo korea amekataa ombi hilo
![]()
![]()
![]()
Kwa ufupi tuu wakuu..
Ngoja tumsubiri madenge aje aweke picha..Leo katika Historia
30/6/1985 mwanamuziki T Pain wa kutoka nchini Marekani amezaliwa


Nimeonaaa mkuuu .....ngoja niwekeeeKuna Nukuu nimetupia hapo juu
Ukimaliza kulisoma...weka nyama mkuu
MorningMorning
Asante sana JjLeo katika Historia tarehe 30/6/2017 haina la ziada.
Ntakuwa sina shukrani ikiwa ntaacha kuwashukuru wadhamini wetu ambao ni Dar es Salaam Young African
Leo katika historia inakusanya kila kilicho chake...
Kumbuka basi ijumaa hii ya leo ulikuwa nami Jimena Jimenes ukipenda utaniita JJ
Mpaka wakati mwingine tena nawatakia weekend njema
T G I F
Asantee kamanda na mm leo nimejitoa ufahamu nione kinachoandikwaa na hili gazeti la kila siku ....na wewe pitiaaNUKUU YA LEO
The United States must choose! It’s up to you whether the nation called the United States exists on this planet or not.”
Marekani inapaswa kuchagua, ni juu yake kama taifa linaloitwa Marekani liendelee kuwepo au lisiwepo
Haya ni maneno yaliyotamkwa na kiongozi wa chama cha worker's party of korea (WKP) na Rais wa Jamhuri ya watu wa Korea.
Kim Jung-un alizaliwa January 8 1984 wakati rekodi za wamarekani zinadai kim alizaliwa July 5 1984.
Kim jong-un ni mtoto wa pili wa mzee Kim jong-il alikuwa Rais na kufariki 2011.
Kim-jong un ana degree mbili , moja ya Fizikia na yingine ni mambo ya kijeshi.
Kim amekuwa na mvutano na kutokuelewana na Marekani na washirika zake kutokana na mpango wake wa kurutubisha na kuzalisha silaha za Nyuklia.
Week iliyopita waliwekewa vikwazo 14 na umoja wa Mataifa ikiwa ni pamoja na kufreeze assets zote za korea zilizoko nje ya korea, hati za kusafiria zimekatazwa pia.
Wakati huo huo marekani anataka kufanya mazungumzo na Korea kaskazini , japo korea amekataa ombi hilo
![]()
![]()
![]()
Kwa ufupi tuu wakuu..
Tumeamka salama... Hujambo Sakayo?Naamini mmeamka salama...
Shululu amka naomba magazeti mie