Mkuu hapa tunajuana kwa mengiii ...hii ndo kapuku bhanaaaaahMimi ntakuwa mshamba zaidi ya wote humu ndani.hv mnakuwa na uhakika gani kama hawa mnaowaita wanawake n wanawake kweli..!!!?maana hz fake ID mh mh mh.labda kama mliwahi kukutana private jaman.msije mkawa mnasema yule wangu na huyu wangu kumbu "NYOTE NI MIDUME".teh teh teh
Kwelii kabisaaNimemwambia sababu ana mashaka na jinsia za watu
Hajui kama wadada wa humu ni wadada/wamama kweli Hivyo hawana maigizo ya jinsia
Mtu tumechat hapa kwa miaka miwili kama mtu anaingiza/zuga si tungeshamjua
.....
Baba DMama D
Nimejikuta nacheka tuMimi ntakuwa mshamba zaidi ya wote humu ndani.hv mnakuwa na uhakika gani kama hawa mnaowaita wanawake n wanawake kweli..!!!?maana hz fake ID mh mh mh.labda kama mliwahi kukutana private jaman.msije mkawa mnasema yule wangu na huyu wangu kumbu "NYOTE NI MIDUME".teh teh teh
Dada ebu ingia pm jamaanKaka
KaribuuuTOP TEN
Leo nashusha vitu mapema maana nitakuwa maeneo korofi baadaye
Hebu tuwaangalie wanyama kumi wenye mambo ya kipumbavu au ambao ni wajinga wajinga au wana akili za kuzaliwa ila kwao ni mwendo wa kufanya mambo kipuuzipuuzi au hawataki tu kutumia akili zao
Karibuni
....
Asante1/HumanBinadamu amejaaliwa akili za kutambua manbo mema na mabaya pia kuyatawala mazingira na viumbe vingine ila usishangae ni mnyama mjinga na mpumbavu
Waswahili husema akili nyingi huondoa maarifa pia ujanja mwingi ni ujinga !!!
Binadamu anayaharibu mazingira yake mwenyewe
Binadamu wanauana wenyewe kila kuficha
Binadamu anatengeneza silaha mfano za nyuklia ambazo humwangamiza yeye mwenyewe
Wana siasa wanaharibu utulivu wa Nchi/Jamii wakidhani hayatawapata wao na familia zao
Binadamu ana upumbavu wa kila aina,baadhi ya viungo kavipa matumizi yasiyo yake
Watu kila siku JF wanasoma thread za uwepo wa akina Rainyundo wazee wa assist lakini wanaendelea kutapeliwa kizembezembe tu utafikiri hawaoni wala kusikia
Makanisani nako Mchungaji hata awaambie waumini wanywe sabuni ya kusafishia choo wanakunywa tu
Binadamu wana mambo ya kipuuzi na ujinga uliopitiliza
.
.
.
.
.
Tukutane kesho
Mwisho
.......
Ni kweli tulichelewa mpiraniHa ha ha ha ha... Keyboard error.... Tumosa akuje
Bitoz Asante sana1/HumanBinadamu amejaaliwa akili za kutambua manbo mema na mabaya pia kuyatawala mazingira na viumbe vingine ila usishangae ni mnyama mjinga na mpumbavu
Waswahili husema akili nyingi huondoa maarifa pia ujanja mwingi ni ujinga !!!
Binadamu anayaharibu mazingira yake mwenyewe
Binadamu wanauana wenyewe kila kuficha
Binadamu anatengeneza silaha mfano za nyuklia ambazo humwangamiza yeye mwenyewe
Wana siasa wanaharibu utulivu wa Nchi/Jamii wakidhani hayatawapata wao na familia zao
Binadamu ana upumbavu wa kila aina,baadhi ya viungo kavipa matumizi yasiyo yake
Watu kila siku JF wanasoma thread za uwepo wa akina Rainyundo wazee wa assist lakini wanaendelea kutapeliwa kizembezembe tu utafikiri hawaoni wala kusikia...wengine wapo JF kwaajili ya kutafuta like na umaarufu tu wakati tu badala ya maarifa
Makanisani nako Mchungaji hata awaambie waumini wanywe sabuni ya kusafishia choo wanakunywa tu
Binadamu wana mambo ya kipuuzi na ujinga uliopitiliza
.
.
.
.
.
Tukutane kesho
Mwisho
.......
TayariDada ebu ingia pm jamaan
Asante BitozEnd
.......
KaribuBaba D
Asante mke mwee za wewe apoKaribu
Salama umeshndajeAsante mke mwee za wewe apo