Makapuku Forum

Makapuku Forum

3/Blobfish
92bd62fc40983bbb0d774d59c43a42ec.jpg
2c9282cac8e7c34d9fe04672de3bfc59.jpg

Hawa samaki muda wote wamekunja ndita kama bwana Sizonje
Ila hiyo inasababishwa na shinikizo la maji(water pressure) kuwa kubwa wakati Mkulu wetu mahasira ndo tabia yake
Hawa ni moja kati ya samaki wapuuzi
Hata wanune vipi wataliwa tu
.....
 
Mimi ntakuwa mshamba zaidi ya wote humu ndani.hv mnakuwa na uhakika gani kama hawa mnaowaita wanawake n wanawake kweli..!!!?maana hz fake ID mh mh mh.labda kama mliwahi kukutana private jaman.msije mkawa mnasema yule wangu na huyu wangu kumbu "NYOTE NI MIDUME".teh teh teh
Mkuu hapa tunajuana kwa mengiii ...hii ndo kapuku bhanaaaaah
 
1/Human
2f99c28d124ffe63936f4fd8733ed0ed.jpg
5e78a3ada8c0922d653f0c9d4349356c.jpg
Binadamu amejaaliwa akili za kutambua manbo mema na mabaya pia kuyatawala mazingira na viumbe vingine ila usishangae ni mnyama mjinga na mpumbavu
Waswahili husema akili nyingi huondoa maarifa pia ujanja mwingi ni ujinga !!!

Binadamu anayaharibu mazingira yake mwenyewe
Binadamu wanauana wenyewe kila kukicha
Binadamu anatengeneza silaha mfano za nyuklia ambazo humwangamiza yeye mwenyewe
Wanasiasa wanaharibu utulivu wa nchi/jamii wakidhani hayatawapata wao na familia zao
Binadamu ana upumbavu wa kila aina,baadhi ya viungo kavipa matumizi yasiyo yake

Watu kila siku JF wanasoma thread za uwepo wa akina Rainyundo wazee wa kupiga assist lakini wanaendelea kutapeliwa kizembezembe tu utafikiri hawaoni wala kusikia...wengine wapo JF kwa ajili ya kutukana watu, wengine kutafuta likes na umaarufu kwa nguvu badala ya maarifa au pengine kutafuta hela

Makanisani nako Mchungaji hata awaambie waumini wanywe sabuni ya kusafishia choo wanakunywa tu
Binadamu wana mambo ya kipuuzi na ujinga uliopitiliza
.
.
.
.
.
Tukutane kesho
Mwisho
.......
 
1/Human
2f99c28d124ffe63936f4fd8733ed0ed.jpg
5e78a3ada8c0922d653f0c9d4349356c.jpg
Binadamu amejaaliwa akili za kutambua manbo mema na mabaya pia kuyatawala mazingira na viumbe vingine ila usishangae ni mnyama mjinga na mpumbavu
Waswahili husema akili nyingi huondoa maarifa pia ujanja mwingi ni ujinga !!!
Binadamu anayaharibu mazingira yake mwenyewe
Binadamu wanauana wenyewe kila kuficha
Binadamu anatengeneza silaha mfano za nyuklia ambazo humwangamiza yeye mwenyewe
Wana siasa wanaharibu utulivu wa Nchi/Jamii wakidhani hayatawapata wao na familia zao
Binadamu ana upumbavu wa kila aina,baadhi ya viungo kavipa matumizi yasiyo yake

Watu kila siku JF wanasoma thread za uwepo wa akina Rainyundo wazee wa assist lakini wanaendelea kutapeliwa kizembezembe tu utafikiri hawaoni wala kusikia
Makanisani nako Mchungaji hata awaambie waumini wanywe sabuni ya kusafishia choo wanakunywa tu
Binadamu wana mambo ya kipuuzi na ujinga uliopitiliza
.
.
.
.
.
Tukutane kesho
Mwisho
.......
Asante
 
1/Human
2f99c28d124ffe63936f4fd8733ed0ed.jpg
5e78a3ada8c0922d653f0c9d4349356c.jpg
Binadamu amejaaliwa akili za kutambua manbo mema na mabaya pia kuyatawala mazingira na viumbe vingine ila usishangae ni mnyama mjinga na mpumbavu
Waswahili husema akili nyingi huondoa maarifa pia ujanja mwingi ni ujinga !!!

Binadamu anayaharibu mazingira yake mwenyewe
Binadamu wanauana wenyewe kila kuficha
Binadamu anatengeneza silaha mfano za nyuklia ambazo humwangamiza yeye mwenyewe
Wana siasa wanaharibu utulivu wa Nchi/Jamii wakidhani hayatawapata wao na familia zao
Binadamu ana upumbavu wa kila aina,baadhi ya viungo kavipa matumizi yasiyo yake

Watu kila siku JF wanasoma thread za uwepo wa akina Rainyundo wazee wa assist lakini wanaendelea kutapeliwa kizembezembe tu utafikiri hawaoni wala kusikia...wengine wapo JF kwaajili ya kutafuta like na umaarufu tu wakati tu badala ya maarifa

Makanisani nako Mchungaji hata awaambie waumini wanywe sabuni ya kusafishia choo wanakunywa tu
Binadamu wana mambo ya kipuuzi na ujinga uliopitiliza
.
.
.
.
.
Tukutane kesho
Mwisho
.......
Bitoz Asante sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom