Makapuku Forum

Makapuku Forum

cf7340d8811164f32cb0b0f0d9776dac.jpg
 
DID YOU KNOW ?
a302c7b5667e3a8c19f878c7d87d8b79.jpg
Trump anachezea karibu 2,000 threats kila mwezi mpaka secret service wameongeza ma-agents wa kufuatilia threats hasa zilizo credible. John Depp (mwigizaji wa sinema za Pirates of the Caribbean) juzi juzi hapa naye alimchimba mkwara Trump kuwa angekuwa na uwezo angemfanyizia. Mpaka sasa yumo katika observation na haruhusiwi kuwa karibu na Trump kwa namna yo yote ile.
 
TOP TEN
Leo nashusha vitu mapema maana nitakuwa maeneo korofi baadaye
Hebu tuwaangalie wanyama kumi wenye mambo ya kipumbavu au ambao ni wajinga wajinga au wana akili za kuzaliwa ila kwao ni mwendo wa kufanya mambo kipuuzipuuzi au hawataki tu kutumia akili zao
Karibuni
....
 
10/Starfish
7c8ce41a1d356fa542a81c680c3a457a.jpg
859ef72a5d5d3a7bf16a6aa4367c9680.jpg
Bora hawa wameumbwa bila kupewa ubongo kabisa kichwani(hawana ubongo) hivyo tukiwaona wakifanya ujinga tusiwalaumu....
Hawa ni wanyama/samakiwajinga kupitiliza
Ila samtaimu wanajitambua na hawafanyi upuuzi unaofanywa na binadamu ambao tumejaaliwa maarifa kupitiliza ila ni vichaa watupu
.........
 
9/Dodo
7d8c19ca9f36b43fc9726fab8062cd8a.jpg

030dbee8a7955c26cac735faf9f90727.jpg
Hawa hawajielewi kabisa....japokuwa hawamuogopi binadamu ila pia ni wajinga wajinga
Wakiwindwa hukamatwa kiurahisi....mtu anaweza kuwalengeshea bunduki lakini kwa ujinga walionao wanaitazama tu utafikiri wameoneshwa pili
Ni mabwege
.....
 
8/Mosquito
71010451cec17259caac2a7b77e0b6e0.jpg
fbc7f3b9f96b0263eef8341b6e418480.jpg

Usishangae mbu nao ni wajinga wakubwa japo wachache ni werevu
Unaweza kuwapa mbu 1000 kizembezembe tu....unamiua mmoja wengine wanaona kabisa ila akili zao wanazijua wenyewe ndo kwanza nao wanasogea
......
 
7/Sheep
3f9af9003dc0e76af10055183d94b222.jpg
e55171d41a2c1b94eba231ff71be29e6.jpg

Unafuga kondoo? Wapime werevu wao!!
Kondoo nao ni wapuuzipuuzi tu japokuwa wanejaaliwa akili
Pia ni wanyama wapole....kondoo wengi ni wajinga na wazembe ndiosababu wanauawa na wanyama wengine kizembezembe
.....
 
6/Pandas
c2de4ea5c4e2ed003867546fc8c04698.jpg
f50146586afd359639847a7765a0a9cd.jpg

Unawajua pandas? Mimi siwafahzmu sana hata jina lao kwa kiswahili cha TUKI silijui
Wana mabichwa makubwa lakini akili kiduchu
Wanapendelea kukaa kwenye mianzi(labda Ndo pombe/kilevi kinachowatoa ufahamu)
Hawa huweza hata kuua watoto wao wenyewe mara kwa mara
......
 
5/Dog
e6c48ddba23da117c25875465a1749c0.jpg
7ad33b03dd0fc4f59b4972925d2b3517.jpg

Mbwa ni miongoni mwa wanyama werevu zaidi duniani kiasi cha kuishi na mwanadamu na kuweza hata kufundishwa mambo wakaelewa
Ila wana ujinga/upiizi wao uliopitiliza....kwavile wanejaa mitaani wachunguze tu hawa vichaa
...
 
4/Turkey
0cb466f4b1d17532f34b3cf6ba9c6ff3.jpg
8010614d388026d42fd040af02eb5f88.jpg

Hawa bara mzinga nao wamo
Kipindi mvua ikiwa inanyesha ndo utawagundua kuwa hawsjielewi kabisa....watakunywa maji hata wakiwa wamesimama na kudondokewa na matone ya mvua,wanaweza kunyeshea na mvua maji yakajaa lakini hawaelewi(hawaachi kukaa hapo) hadi wanaweza kufa kwa kuzama,kujitupatupa....pia wanaweza tu kunywa maji bila kuacha hadi wafe
......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom