Makapuku Forum

Makapuku Forum

02edbc9f674313dc80958ff62b6965e8.jpg
safi kwa ubunifu na kusaidia wengine
 
Mipango ya Mungu sio ya mwanadamu....anakupa apendavyo kwa wakati wake...namfahamu dada alifiwa na mumw miaka ya themanini akamwachia mtoto mmoja wa kiume...2012 mtoto akiwa form four akafariki ghafla.....tukamzika....2014 mwishoni dada yule alipata mume mngine...2016...amepata watoto watatu wakike wawili wakiume mmoja ..huyo ni Mungu asiyeshindwa.tumshukuru kwa kila jambo
Kwelii kabisa
 
Leo katika historia itawajia hivi punde tu....
Ambayo basi leo hii tarehe 29/6/2017 italetwa kwenu nami Jimena Jimenes
Lakini kwanza tupate maneno kutoka kwa wadhamini wetu
171ae3012d90bb28b1f086f9e2d2ee15.jpg

Kinywaji asilia kutoka kule kaskazini..... Karibuni sana
 
Leo katika historia
29/06/1978 Mwanadada mrembo Nicole Schetzniger anazaliwa. Huyu ni mwanamuziki kutoka nchini Marekani ambae anakubalika kwa vibao vyake mahiri kadha wa kadha.
Mi naukubali wimbo wake unaoitwa Lie about us alioshirikiana na Avante
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom