Makapuku Forum

Makapuku Forum

Mimi ntakuwa mshamba zaidi ya wote humu ndani.hv mnakuwa na uhakika gani kama hawa mnaowaita wanawake n wanawake kweli..!!!?maana hz fake ID mh mh mh.labda kama mliwahi kukutana private jaman.msije mkawa mnasema yule wangu na huyu wangu kumbu "NYOTE NI MIDUME".teh teh teh
Mdau humu tupo/wapo wanaofahamiana kabisa

Hivyo humu ondoa shaka hakuna majikesume labda tu wanaokuja mara mojamoja
Kumbuka thread hii ilianza mwaka 2016
.......
 
Corrections..2016
8ca67b6adb8ce2543f67dfe20a6efc57.jpg
Ni kweli hivyo mwaka mmoja siyo haba
Ila wapo niliojuliana nao kabla ya hii thread
...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom