Mafanikio makubwa ya hii thread ni mabadiliko kutoka kuwa thread ya waovyoovyo hadi kuwa thread ya wajanjawajanja
Kumbuka bendera hufuata upepo ...watu wakiona tunapost sana ujingajinga(vinukta,matusi,kujisemesha tu km matahira n.k) au magumashi nao wanakuja kufanya hivyohivyo and vice versa japokuwa kila kitu kina umuhimu,faida na hasara zake
........