BlessedHope
JF-Expert Member
- Jan 29, 2016
- 7,988
- 32,649
Kitendawili..ona Samia anavyobanwa na kukatishwa tamaa ,huwa sipendi kabisa..na sasa watoto wa kike wasisome wakipata ujauzito..nani atapenya wakati urais umewekewa kiwango cha elimu...imagine lini?

Halijawahi kuwepo na halitakuja kuwepo asilaniKwanii kuna tatizo anko kutoka na aunt yakee ??

Nadhani hata miaBaada ya miaka minne au mitano
Asante sana diaMbarikiwe Mwenyekiti Mussolin5 na Jimena kwa historia na udhamini mbarikiwe
Sana mama... Mimi nawachukia sana wabaguzi wa kidini... Ndo wanaotusababishia vurugu duniani. Wala dini hazifundishi hivyo.Haha asante kurekebisha,je umenielewa?asante
Wazima tunamshukuru Mungu za uzima karibu sanaWatanzania wenzangu hamjambo!?!?
Namshukuru Mungu kaniamsha salama kabisaUmeamkaje mama mchungaji
Miaka 31 tu Ila utakuta imetuzidi kwa kila kituHongera nchi ya Seychells kupata uhuru na kumbukumbu ya leo miaka 31 ya Uhuru

ShemDear dearling swty switieee
Safii,Za majukumu?Namshukuru Mungu kaniamsha salama kabisa
Asante..shuhuda nzuri..huyu jamaa anajua anajitahidi kuwaweka chini wanawake ndio mila zake
Hapa ndio chanzo cha migogoro yote duniani na huu unafiki wao ndio ulifanya nikajiengua mapemaaa kwenye hizo dini zao na sasa sifungamani na upande wowote ule. Dini yangu ni upendoSana mama... Mimi nawachukia sana wabaguzi wa kidini... Ndo wanaotusababishia vurugu duniani. Wala dini hazifundishi hivyo.
HatawezaAsante..shuhuda nzuri..huyu jamaa anajua anajitahidi kuwaweka chini wanawake ndio mila zake
Hata siku moja tumuombe Mungu atuimarishe Upendo,mimi nina ndugu wa damu wa kila imani wabudha,wakristo,RC,Penteoste,Sabato,waislamu,wapagani,wanaoabudu mizimu.....tunaheshimiana.tuna amani teleSana mama... Mimi nawachukia sana wabaguzi wa kidini... Ndo wanaotusababishia vurugu duniani. Wala dini hazifundishi hivyo.
Hakika wako mbali,...sisi soga za wazawa tu na kubaguanaMiaka 31 tu Ila utakuta imetuzidi kwa kila kitu![]()
Ukifuata vitabu jimena dini hazina Tatizo..... Hawa wanaofuata dini kinafiki ndo wenye tabu.Hapa ndio chanzo cha migogoro yote duniani na huu unafiki wao ndio ulifanya nikajiengua mapemaaa kwenye hizo dini zao na sasa sifungamani na upande wowote ule. Dini yangu ni upendo
Njema sana nashukuru wewe jeSafii,Za majukumu?