Makapuku Forum

Makapuku Forum

Leo katika historia

29/6/1946 Ernesto Perez Balladares ambae alikua ni Rais wa 33 wa Panama alizaliwa
0eb4fb5bc7f7d4561542485c1a53e146.jpg
ceea264c3e40c81f8524885961422932.jpg
Aligombea urais kupotia Democratic Revolutionary Party{PRD)
Alitawala kuanzia mwaka 1994 hadi 1995
...
 
Leo katika historia

29/6/1974 Mwanamama Isabel Peron anaapishwa kuwa Rais wa Argentina
Huyu ndio alikuwa Rais wa kwanza mwanamke nchini humo
f1c8802e2a54c123c19f0b59e59a23ce.jpg
925381ab7c821afce131c9a74710d322.jpg
2511dc011a48847a8696c4a433360f09.jpg
Alizaliwa Februari 4 1931
Aliongoza Argentina kuanzia mwaka 1974 Julai 1 hadi tarehe 24 March 1976
Amewahi pia kuwa Mama Samia wa Argentina ila alikuwa na sauti sio km wetu wa bwana mkubwa Sizonje anayepelekeshwa pelekeshwa tu
......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom