Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,632
Leo katika historia
29/6/1946 Ernesto Perez Balladares ambae alikua ni Rais wa 33 wa Panama alizaliwa
Alitawala kuanzia mwaka 1994 hadi 1995
...
Leo katika historia
29/6/1946 Ernesto Perez Balladares ambae alikua ni Rais wa 33 wa Panama alizaliwa
Sema anaonekana alikuwa mbabe
Aligombea urais kupotia Democratic Revolutionary Party{PRD)![]()
Alitawala kuanzia mwaka 1994 hadi 1995
...
Shukrani sana kwa nenoYote ni memq mbele za Mungu na Upendo ndio Amri kuu ya Mungu ...
1Wakorintho 13
1.Nijaposema kwa lugha za wanadamu na malaika ,kama sina upendo,nimekuwa shaba iliayo na upatu uvumao.
Leo katika historia
29/6/1974 Mwanamama Isabel Peron anaapishwa kuwa Rais wa Argentina
Huyu ndio alikuwa Rais wa kwanza mwanamke nchini humo
Kamanda huyo![]()
Alizaliwa Februari 4 1931![]()
Aliongoza Argentina kuanzia mwaka 1974 Julai 1 hadi tarehe 24 March 1976
......
Leo katika historia
29/06/1988
Éver Banega mchezaji kiungo wa timu ya Valencia ambae pia alikua akiichezea timu ya taifa ya Argentina anazaliwa
Ngoja nicheki mkuluuuJana nilikuwa na ishu nikakuPM nafikiri hujaona maana notification shida
......
Tuko poaVpi makamanda mko poa..!!
Tuko poa kamandaaa mwogaaVpi makamanda mko poa..!!
Tuko poa kamandaaa mwogaa
Ndio jamii hiyo yote ya watu wa walatin America huwa wanaitwa pia walatino![]()
Data zinaoneshwa ni Muargentina--muhispaniola![]()
......
Inahitaji nguvubya Mungu kujua haya,maana watu hutumia nguvu binafsi ndio maana unadikia watu wameachana huku bado wanapendana ni vema kuomba sana khs marafiki,mahusiano,familia ili kuweza kuona mengi na kuyaishi...Mungu huonesha wazi bila chenga
Leo katika historia
29/6/1976 Nchi ya Seychelles (Shelisheli) yajipatia uhuru wake toka kwa waingereza
Kamanda huyo
Si haba na miaka yake hiyo michache aliyoweka historia
kawadakia ureno penalty zote walizopiga.Kafanyaje embu nijuze mkuu!
Ok,nice I didn't know this