Makapuku Forum

Makapuku Forum

Ni kweli, hilo alisema ktk kuwajenga watu akimaanisha jambo la msingi ni kuwa na wazo madhubuti na lenye tija theni mwishoni tunazungumzia namna ya kulikamilishwa kwa suala la upatikanaji wa fedha.
Siku zote la kwanza ni Wazo la biashara ndipo ulitafutie mtaji.
JAMBO LA MSINGI
kuwa na wazo la biashara ambalo
Litamgusa kila mtu ndipo tujadili
Namna ya kulifanikisha
Kimsingi hata mimi ninaunga mkono kilimo kwani hakitakizuia
Kuendelea na majukumu ya
Kila siku. Tunacho kikundi hai
Wanashiriki watu wengi sana
Lina mafanikio japo tumeungana watu wa sehemu tofauti,
Japo tumevuna msimu mmoja
Tumeona faida na sasa tunamalizia maandalizi ya
Awamu nyingine.
Hii haijawahi kunizuia kuendelea na shughuli zangu za kila siku kwani hatulimi kwa mikono yetu.
Nilicho jifunza ni kupata watu waaminifu kwa kiwango cha juu.
Yote yanawezekana, pesa ipo sana la msingi ni nia THABITI.
TATIZO KUBWA VIJANA WA TZ WAOGA
KILA MTU ANATAKA KUAJIRIWA.
Mawazo kama haya ni ya muhimu sana kwa wakati huu...
 
Ajira hugeuka kuwa utumwa pale ambapo baada ya kuipata hutaki kufikiria tena nje ya box hapo ni shida ila Ajira unaweza kuitumia kama Stepping stone na ikakuvusha ng'ambo ya pili pale ndoto yako ilipo..
Kweli mkuu,ajira yeyote bila kufanya kitu kingine nje ya box haiwezi kukutoa ulipo!,lazima utakufa masikini tu!,mishahara yenyewe hii imejaa makato kibao.
 
Kweli mkuu,ajira yeyote bila kufanya kitu kingine nje ya box haiwezi kukutoa ulipo!,lazima utakufa masikini tu!,mishahara yenyewe hii imejaa makato kibao.
Kabisa ndugu yangu na mshahara huwa unatosha kwa mwezi mmoja ama miwili tu baada ya hapo unakuwa umeshazoea mshahara huo unaanza kuhisi unadhulumu nafsi yako kwani kipato hakikutoshi ila ukiwa na malengo kwamba kwa Ajira hii mimi nitafute mtaji na niwekeze mahali pengine hata huyo kazi utaifurahia pia...
 
Unalo lingine kaka!
Mkuu wacha tuendelee kuchangamsha akili tuone nimeona umesema mlishatengeneza kikundi flan mkaanza kilimo na kimefanikiwa kwa kiasi flan hiyo nimeipenda maana kumbe upo na xperince ya kutosha kabisa...Unaweza funguka zaidi kwa jinsi gani mlianza na changamoto mlizokutana nazo...
 
Kabisa ndugu yangu na mshahara huwa unatosha kwa mwezi mmoja ama miwili tu baada ya hapo unakuwa umeshazoea mshahara huo unaanza kuhisi unadhulumu nafsi yako kwani kipato hakikutoshi ila ukiwa na malengo kwamba kwa Ajira hii mimi nitafute mtaji na niwekeze mahali pengine hata huyo kazi utaifurahia pia...
Nakuelewa brother, mimi kwakweli nina mpango wa kufanya ajira yangu kama kitu cha ziada cha kuniingizia kipato!

Unajua sisi vijana hatujui tu ila hakuna kitu kizuri kama kujiajili!.
 
Mkuu wacha tuendelee kuchangamsha akili tuone nimeona umesema mlishatengeneza kikundi flan mkaanza kilimo na kimefanikiwa kwa kiasi flan hiyo nimeipenda maana kumbe upo na xperince ya kutosha kabisa...Unaweza funguka zaidi kwa jinsi gani mlianza na changamoto mlizokutana nazo...
Kweli mkuu.
jambilo hebu tupe madini kidogo mkuu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom