Mpigadili Tz
JF-Expert Member
- May 4, 2015
- 1,103
- 2,126
Hahahaha alijisahau kidogoHata wew ni mtu
Hahahaha alijisahau kidogoHata wew ni mtu
Mawazo kama haya ni ya muhimu sana kwa wakati huu...Ni kweli, hilo alisema ktk kuwajenga watu akimaanisha jambo la msingi ni kuwa na wazo madhubuti na lenye tija theni mwishoni tunazungumzia namna ya kulikamilishwa kwa suala la upatikanaji wa fedha.
Siku zote la kwanza ni Wazo la biashara ndipo ulitafutie mtaji.
JAMBO LA MSINGI
kuwa na wazo la biashara ambalo
Litamgusa kila mtu ndipo tujadili
Namna ya kulifanikisha
Kimsingi hata mimi ninaunga mkono kilimo kwani hakitakizuia
Kuendelea na majukumu ya
Kila siku. Tunacho kikundi hai
Wanashiriki watu wengi sana
Lina mafanikio japo tumeungana watu wa sehemu tofauti,
Japo tumevuna msimu mmoja
Tumeona faida na sasa tunamalizia maandalizi ya
Awamu nyingine.
Hii haijawahi kunizuia kuendelea na shughuli zangu za kila siku kwani hatulimi kwa mikono yetu.
Nilicho jifunza ni kupata watu waaminifu kwa kiwango cha juu.
Yote yanawezekana, pesa ipo sana la msingi ni nia THABITI.
TATIZO KUBWA VIJANA WA TZ WAOGA
KILA MTU ANATAKA KUAJIRIWA.
Kweli mkuu,ajira yeyote bila kufanya kitu kingine nje ya box haiwezi kukutoa ulipo!,lazima utakufa masikini tu!,mishahara yenyewe hii imejaa makato kibao.Ajira hugeuka kuwa utumwa pale ambapo baada ya kuipata hutaki kufikiria tena nje ya box hapo ni shida ila Ajira unaweza kuitumia kama Stepping stone na ikakuvusha ng'ambo ya pili pale ndoto yako ilipo..
Upo online shemExactly uko right bwashee
Unalo lingine kaka!Mawazo kama haya ni ya muhimu sana kwa wakati huu...
Niko fresh nduguAh poa san ndugu yangu mi nipo vizuri sijui wewe?
Sijakataa kuwa na mimi si mtu, ila nimesemea katika wingi.Hata wew ni mtu
Kabisa ndugu yangu na mshahara huwa unatosha kwa mwezi mmoja ama miwili tu baada ya hapo unakuwa umeshazoea mshahara huo unaanza kuhisi unadhulumu nafsi yako kwani kipato hakikutoshi ila ukiwa na malengo kwamba kwa Ajira hii mimi nitafute mtaji na niwekeze mahali pengine hata huyo kazi utaifurahia pia...Kweli mkuu,ajira yeyote bila kufanya kitu kingine nje ya box haiwezi kukutoa ulipo!,lazima utakufa masikini tu!,mishahara yenyewe hii imejaa makato kibao.
Ucjali mkuu nilikuwa nakujulisha kuwa tupoSijakataa kuwa na mimi ni mtu, ila nimesemea katika wingi.
Shemeji vipi!Mawazo kama haya ni ya muhimu sana kwa wakati huu...
Pamoja sana Mkuu. Unaweza pitia page #3 kama hautojali.Asante sana
Mnapotaka kutoka tuwe tunaambizana, mda ule nimejikuta niko lonely.Ucjali mkuu nilikuwa nakujulisha kuwa tupo
Asante sana best maana huku nahisi nitajiachia nilikua sioni raha ya jf asante sanaNiko fresh ndugu
karibu mjengoni.
Mkuu wacha tuendelee kuchangamsha akili tuone nimeona umesema mlishatengeneza kikundi flan mkaanza kilimo na kimefanikiwa kwa kiasi flan hiyo nimeipenda maana kumbe upo na xperince ya kutosha kabisa...Unaweza funguka zaidi kwa jinsi gani mlianza na changamoto mlizokutana nazo...Unalo lingine kaka!
Nakuelewa brother, mimi kwakweli nina mpango wa kufanya ajira yangu kama kitu cha ziada cha kuniingizia kipato!Kabisa ndugu yangu na mshahara huwa unatosha kwa mwezi mmoja ama miwili tu baada ya hapo unakuwa umeshazoea mshahara huo unaanza kuhisi unadhulumu nafsi yako kwani kipato hakikutoshi ila ukiwa na malengo kwamba kwa Ajira hii mimi nitafute mtaji na niwekeze mahali pengine hata huyo kazi utaifurahia pia...
Hhahaha.Asante sana best maana huku nahisi nitajiachia nilikua sioni raha ya jf asante sana
Sijutii kuacha kazi na kufungua ofisi yangu.Ajira hugeuka kuwa utumwa pale ambapo baada ya kuipata hutaki kufikiria tena nje ya box hapo ni shida ila Ajira unaweza kuitumia kama Stepping stone na ikakuvusha ng'ambo ya pili pale ndoto yako ilipo..
Kweli mkuu.Mkuu wacha tuendelee kuchangamsha akili tuone nimeona umesema mlishatengeneza kikundi flan mkaanza kilimo na kimefanikiwa kwa kiasi flan hiyo nimeipenda maana kumbe upo na xperince ya kutosha kabisa...Unaweza funguka zaidi kwa jinsi gani mlianza na changamoto mlizokutana nazo...