Youngblood
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 19,503
- 57,043
Ungemtafuta shemdarling ukupetipeti.Mnapotaka kutoka tuwe tunaambizana, mda ule nimejikuta niko lonely.
Kabisa mkuu na hutojuta kamwe maana kupitia Ajira umeweza timiza ndoto zako..Safi kabisa Mkuu..Sijutii kuacha kazi na kufungua ofisi yangu.
Kumbuka braza mara zote huwa ngumu sana kuchomoka kutoka kwenye utumwa, pesa huwa haitoshi kwa kadri ya siku zinavyozidi kwenda. Ingelikuwa ni hivyo ni watu wengi sana wangelikuwa wameshaacha kazi ili wajiajiri maana kuna idadi kubwa ya wahanga wa ajira wanaotamani kuacha kazi za utumwa wapate kujiajiri.Ajira hugeuka kuwa utumwa pale ambapo baada ya kuipata hutaki kufikiria tena nje ya box hapo ni shida ila Ajira unaweza kuitumia kama Stepping stone na ikakuvusha ng'ambo ya pili pale ndoto yako ilipo..
Nashukuru kusikia hivyo kutoka kwako Shemeji maana nimeona kuna baadhi ya watu hapa EMMYGUY wakinadi kuwa umeachwa na nini....Na wap lizziebettie shemeji yetu sijamuona mda kidogo..Nahrene bado yupo kijiji lakini yuko poa kabisa mungu anasaidia..
Kaka, Hujachelewa bado, kikubwa ni uthubutu na kuvumilia katika kile ulichokusudia kukifanya.Nakuelewa brother, mimi kwakweli nina mpango wa kufanya ajira yangu kama kitu cha ziada cha kuniingizia kipato!
Unajua sisi vijana hatujui tu ila hakuna kitu kizuri kama kujiajili!.
Umeongea kweli tupu mkuu si rahisi kama tunavyoandika hapa...Lakin unajua kuna watu wengine huwa ni waoga kuthubutu akipata kazi mahali anachoangalia ni jinsi gani atadumu pale milele lakin mkikaa naye vijiwen na yeye ana-act kama vile anatafuta alternative ya kuondoka pale kumbe ni zuga tu.Kumbuka braza mara zote huwa ngumu sana kuchomoka kutoka kwenye utumwa, pesa huwa haitoshi kwa kadri ya siku zinavyozidi kwenda. Ingelikuwa ni hivyo ni watu wengi sana wangelikuwa wameshaacha kazi ili wajiajiri maana kuna idadi kubwa ya wahanga wa ajira wanaotamani kuacha kazi za utumwa wapate kujiajiri.
Ndiyo maana siku zote nasema kuajiliwa ni utumwa.Kumbuka braza mara zote huwa ngumu sana kuchomoka kutoka kwenye utumwa, pesa huwa haitoshi kwa kadri ya siku zinavyozidi kwenda. Ingelikuwa ni hivyo ni watu wengi sana wangelikuwa wameshaacha kazi ili wajiajiri maana kuna idadi kubwa ya wahanga wa ajira wanaotamani kuacha kazi za utumwa wapate kujiajiri.
Asante sana best maana huku nahisi nitajiachia nilikua sioni raha ya jf asante sana
Kikubwa asichafue hewa(maneno machafu) humu ndani.Hhahaha.
Usijali mkuu hapa unajimwaga inavyotaka.
Tuombeane brother.Kaka, Hujachelewa bado, kikubwa ni uthubutu na kuvumilia katika kile ulichokusudia kukifanya.
Hilo linajulikana best hata usijaliKikubwa asichafue hewa(maneno machafu) humu ndani.
Kabisa Kabisa..Kaka, Hujachelewa bado, kikubwa ni uthubutu na kuvumilia katika kile ulichokusudia kukifanya.
Wengi huwa hawachomoki, na wafanyakazi walio wengi huwa wanashindwa kuitumia fursa ya mshahala kama kipato kwa kuanzishia mtaji. Wanaishia kupanga nyumba za bei ya juu, gharama za maisha kupanda maana wanahitaji kuwa na maisha mazuri.Umeongea kweli tupu mkuu si rahisi kama tunavyoandika hapa...Lakin unajua kuna watu wengine huwa ni waoga kuthubutu akipata kazi mahali anachoangalia ni jinsi gani atadumu pale milele lakin mkikaa naye vijiwen na yeye ana-act kama vile anatafuta alternative ya kuondoka pale kumbe ni zuga tu.
Ni kweli usipojiongeza hutoboi kabisa ndugu yangu...Ndiyo maana siku zote nasema kuajiliwa ni utumwa.
Mfano unapata mshahara laki 5
Makato kibao.
Unalipa kodi ya nyumba.
Unasomesha
Unanunua mahitaji ya nyumbani
Unataka kujenga.
Watoto wataumwa.
Utahudumia ndugu.
Utanunua nguo na vitu vingine vya luxury.
Usafiri.
Utataka umiliki shamba.
Na mambo mengine kibao huo mshahara utatosha nini kama si kufa masikini.?
Kweli bro.Ni kweli usipojiongeza hutoboi kabisa ndugu yangu...
Ni changamoto kubwa sana na wengine wanashindwa kutoka kwenye hzo ajira maana amechukua mkopo atakaoulipa miaka 5 then pesa yote hiyo ya mkopo kanunulia gari tena la kwendea kazin na jion kupaki Bar...Wengi huwa hawachomoki, na wafanyakazi walio wengi huwa wanashindwa kuitumia fursa ya mshahala kama kipato kwa kuanzishia mtaji. Wanaishia kupanga nyumba za bei ya juu, gharama za maisha kupanda maana wanahitaji kuwa na maisha mazuri.
Ni changamoto kubwa sana na wengine wanashindwa kutoka kwenye hzo ajira maana amechukua mkopo atakaoulipa miaka 5 then pesa yote hiyo ya mkopo kanunulia gari tena la kwendea kazin na jion kupaki Bar...