Makapuku Forum

Makapuku Forum

50d1b7468d57c7990a241e8eab48baf7.jpg
dbef9d267c9104803d918cd6e5cf675e.jpg
b2eecf5e41e24aedbcd608b6c30cecdc.jpg
28b42e5625ec7cecd5dadd4e5b8ce211.jpg
745b56be2f00ad6ab125473ce97ca95e.jpg
9e86f1ee2da68ee97da19b16a25fcecf.jpg
0ce0c8a0481aab4d6b57b28e9e196a63.jpg
ae420c414802ed3bb8b483b5313f16b8.jpg
 
Ajira hugeuka kuwa utumwa pale ambapo baada ya kuipata hutaki kufikiria tena nje ya box hapo ni shida ila Ajira unaweza kuitumia kama Stepping stone na ikakuvusha ng'ambo ya pili pale ndoto yako ilipo..
Kumbuka braza mara zote huwa ngumu sana kuchomoka kutoka kwenye utumwa, pesa huwa haitoshi kwa kadri ya siku zinavyozidi kwenda. Ingelikuwa ni hivyo ni watu wengi sana wangelikuwa wameshaacha kazi ili wajiajiri maana kuna idadi kubwa ya wahanga wa ajira wanaotamani kuacha kazi za utumwa wapate kujiajiri.
 
Kumbuka braza mara zote huwa ngumu sana kuchomoka kutoka kwenye utumwa, pesa huwa haitoshi kwa kadri ya siku zinavyozidi kwenda. Ingelikuwa ni hivyo ni watu wengi sana wangelikuwa wameshaacha kazi ili wajiajiri maana kuna idadi kubwa ya wahanga wa ajira wanaotamani kuacha kazi za utumwa wapate kujiajiri.
Umeongea kweli tupu mkuu si rahisi kama tunavyoandika hapa...Lakin unajua kuna watu wengine huwa ni waoga kuthubutu akipata kazi mahali anachoangalia ni jinsi gani atadumu pale milele lakin mkikaa naye vijiwen na yeye ana-act kama vile anatafuta alternative ya kuondoka pale kumbe ni zuga tu.
 
Kumbuka braza mara zote huwa ngumu sana kuchomoka kutoka kwenye utumwa, pesa huwa haitoshi kwa kadri ya siku zinavyozidi kwenda. Ingelikuwa ni hivyo ni watu wengi sana wangelikuwa wameshaacha kazi ili wajiajiri maana kuna idadi kubwa ya wahanga wa ajira wanaotamani kuacha kazi za utumwa wapate kujiajiri.
Ndiyo maana siku zote nasema kuajiliwa ni utumwa.

Mfano unapata mshahara laki 5
Makato kibao.
Unalipa kodi ya nyumba.
Unasomesha
Unanunua mahitaji ya nyumbani
Unataka kujenga.
Watoto wataumwa.
Utahudumia ndugu.
Utanunua nguo na vitu vingine vya luxury.
Usafiri.
Utataka umiliki shamba.
Na mambo mengine kibao huo mshahara utatosha nini kama si kufa masikini.?
 
Umeongea kweli tupu mkuu si rahisi kama tunavyoandika hapa...Lakin unajua kuna watu wengine huwa ni waoga kuthubutu akipata kazi mahali anachoangalia ni jinsi gani atadumu pale milele lakin mkikaa naye vijiwen na yeye ana-act kama vile anatafuta alternative ya kuondoka pale kumbe ni zuga tu.
Wengi huwa hawachomoki, na wafanyakazi walio wengi huwa wanashindwa kuitumia fursa ya mshahala kama kipato kwa kuanzishia mtaji. Wanaishia kupanga nyumba za bei ya juu, gharama za maisha kupanda maana wanahitaji kuwa na maisha mazuri.
 
Ndiyo maana siku zote nasema kuajiliwa ni utumwa.

Mfano unapata mshahara laki 5
Makato kibao.
Unalipa kodi ya nyumba.
Unasomesha
Unanunua mahitaji ya nyumbani
Unataka kujenga.
Watoto wataumwa.
Utahudumia ndugu.
Utanunua nguo na vitu vingine vya luxury.
Usafiri.
Utataka umiliki shamba.
Na mambo mengine kibao huo mshahara utatosha nini kama si kufa masikini.?
Ni kweli usipojiongeza hutoboi kabisa ndugu yangu...
 
Wengi huwa hawachomoki, na wafanyakazi walio wengi huwa wanashindwa kuitumia fursa ya mshahala kama kipato kwa kuanzishia mtaji. Wanaishia kupanga nyumba za bei ya juu, gharama za maisha kupanda maana wanahitaji kuwa na maisha mazuri.
Ni changamoto kubwa sana na wengine wanashindwa kutoka kwenye hzo ajira maana amechukua mkopo atakaoulipa miaka 5 then pesa yote hiyo ya mkopo kanunulia gari tena la kwendea kazin na jion kupaki Bar...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom