Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 70,485
- 167,265
Hiyo kwangu ni ngumu kwa sasa.Umenena poa sana mkuu, mimi kwa upande wangu naona kama KUAJIRIWA NI UTUMWA.
I have trained myself to be a boss.
Hiyo kwangu ni ngumu kwa sasa.Umenena poa sana mkuu, mimi kwa upande wangu naona kama KUAJIRIWA NI UTUMWA.
Bongo Comedian
That's true.
Poa poa Mkuu, aje aje kwako!?Wozap
Mambo vipi brother.Wozap
Full mswano!Poa poa Mkuu, aje aje kwako!?
Karibu kaka.Full mswano!
Nini tena braza?Dah noma sana
2014Naona jina limekuchanganya, labda hijasoma 1 na 3.
Waliojiita makapuku haimaanishi ni maskini bali ni wale waliojiunga jf from 2024 up to date, wale wasiokuwa naajina makubwa na wenye likes chache na sio maskini.
Hata kama Mengi kajiunga mwaka jana kwa mujibu wa uzi huu ni kapuku
Fisi kukabidhiwa bucha.Brother vipi?
Umebanwa na nini tena?Nipo kaka,leo nimebanwa mbaya!
Niko tayari.Ni kweli, hilo alisema ktk kuwajenga watu akimaanisha jambo la msingi ni kuwa na wazo madhubuti na lenye tija theni mwishoni tunazungumzia namna ya kulikamilishwa kwa suala la upatikanaji wa fedha.
Siku zote la kwanza ni Wazo la biashara ndipo ulitafutie mtaji.
JAMBO LA MSINGI
kuwa na wazo la biashara ambalo
Litamgusa kila mtu ndipo tujadili
Namna ya kulifanikisha
Kimsingi hata mimi ninaunga mkono kilimo kwani hakitakizuia
Kuendelea na majukumu ya
Kila siku. Tunacho kikundi hai
Wanashiriki watu wengi sana
Lina mafanikio japo tumeungana watu wa sehemu tofauti,
Japo tumevuna msimu mmoja
Tumeona faida na sasa tunamalizia maandalizi ya
Awamu nyingine.
Hii haijawahi kunizuia kuendelea na shughuli zangu za kila siku kwani hatulimi kwa mikono yetu.
Nilicho jifunza ni kupata watu waaminifu kwa kiwango cha juu.
Yote yanawezekana, pesa ipo sana la msingi ni nia THABITI.
TATIZO KUBWA VIJANA WA TZ WAOGA
KILA MTU ANATAKA KUAJIRIWA.
Utakamatwa ugoni wewe.
Ikiwezekana kwa wale watakaokuwa wamekubaliana kuungana linaweza kutengenezwa group la whatsapp na kuimarisha zaidi kikundi na kuwa pamoja.Exactly uko right bwashee
Nilishakimbia huko na sasa ninafanya kazi kwenye ofisi yangu mwenyewe, najivunia kiukweli.Umenena poa sana mkuu, mimi kwa upande wangu naona kama KUAJIRIWA NI UTUMWA.
Hiyo kwangu ni ngumu kwa sasa.
I have trained myself to be a boss.
Hawezi huyo, labda azime taa za trekta.
Povu litamtoka.![]()
![]()
![]()
![]()
