Makapuku Forum

Siku mingi sana aisee
 
Tulikuwa tunaiita Isingo part 2 hahahaha
 
Ile 100K ilitisha sana na post zilikuwa overloded
 
Ni kweli sisi kama binadamu kila mmoja ana mapungufu yake...kadri tulivyokaa pamoja ndo tulizidi kukomaa na mifarakano kupunguza
Siku hizi hata wazee wapo humu maana ujinga ujinga umepungua kwa kiasi kikubwa
. . ....
Hahahahaha ulivyotaja wazee umenikumbusha yule jamaa mwenye roho ngumu simkumbuki jina lakini yani alikuwa ananiudhi na maneno yake, na akija hapa nilikuwa simpi ushirikiano Ila hakomi
 
Mi hata sihangaiki. Huko naendaga kusoma yaliyojiri tu Ila akiweza atakuja hapa kama haiwezekani basi sio kesi
Nimekwambia tu sio kwamba nawafuatilia
Mimi huwa sijishughulishi sana na "wasiokuwepo" bora hata nikalishe mifugo yangu kuliko kumfuatilia mtu nisiyemjua
Ndiyo maana napenda kusisitiza hapa ni kama maisha ya shuleni/vyuoni ni wachache huanza pamoja na kuendelea urafiki baada ya kumaliza shule ila marafiki wapya kila siku huibuka makazini,kitaani n.k
Hivyo tufurahi na marafiki tulionao leo maana nao hatutokuwa nao kesho ila marafiki wa kweli wataendelea kuwepo
Maisha yenyewe mafupi
Life goes on
........
 
Niliwahi kuumizwa sana na Patience123 na Sumbai utafikiri ni kweli. Nilitokea kumpenda sana utafikiri ipo siku tuta...aliponipiga kibuti na kuchukuliwa na sumbai iliniuma kweli.
Japo kwa sasa tu marafiki ni watu wazuri sana
Hii nayo kali aisee

Halafu mi mwenyewe sahivi nataka nikitulia nitafute bebi mpya maana maisha haya ya upweke yamenichosha. Ila huyu bebi ni lazima awe na swaga na pia avatar yake iwe ya kuvutia kabisa...... Hahahahaha crazy Jimena
 
 
Huyu jamaa nae anastahili kuheshimiwa popote pale alipo
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…