Makapuku Forum

Girl: Baby kila sikukuu za eid zikifika wenzangu
wanapelekwa out na baby zao mara
serengeti, mara Zanzibar kwann
wewe hunipeleki?

Boy: sikukuu hii nitakulepeka

Girl: waooooo bby asante umeplan
kunipeleka wapi?

Boy: ntakupeleka KIBITI

Gil: nyoooo!! kafe mwenyewe

 
Moyo wa mtu ni kichaka ujue hilo. Fake id zinaficha mengi Sana
 
Facts Mwandiko na Ids havijuz mtu n wa aina gan
 
Nakuhakikishia kitu kimoja kuigiza tabia ni ngumu na ipo siku utajisahau labda utumie ID nyingi tofauti tofauti kama GENTA ambaye ana ID zaidi ya 5

Binafsi nishazijua baadhi ya tabia halisi za watu kwa kufuatilia post zao majukwaa mbalimbali
Mfano kuna jamaa mmoja humu Jf ni bingwa wa kutukana akiwa kwenye thread zingine ila hapa KF huigiza upole na mara mojamoja hujisahau

.......
 
Et kujisahau
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…