Makapuku Forum

Makapuku Forum

Aunt, shwari lakini! Usione hujapata mwaliko ukasema sipo, sijakaribisha maana nimekaribishwa tu hapa yaani ni mwendo wa pilau acacia, nyama nyingi kuliko mchele, mchele robo umekaangwa nazi tatu.

Nitarudi tena maana hapa nishamaliza round ya kwanza.
[emoji4] [emoji4] [emoji4]
 
1/New Year
4752ed4b79760def06ba704063bb2216.jpg
923d537725640b71b88fe8dd2ecb0ce5.jpg
Kila inapofika Januari 1 Wanyaki tunasema TULOBHWIKE tukiwa na maana "tumeuona"
Sherehe za mwaka mpya ndo sherehe # 1 kwa umaarufu duniani ikifuatiwa na Valentine's Day
Tufurahi X 2 kwa mwaka mpya,tunywe soda X 2 kwa mwaka mpya.........na wenzetu X 2 wameshakufa. ....
Pindi ukimaliza mwaka salama na pengine kimajanga una kila sababu ya kumshukuru Mungu maana siyo wote wanaobahatika kuuona mwaka mpya
.
.
.
.
.
Shukrani kwa mliosapoti mada
Tukutane kesho
Mwisho
............
 
1/New Year
4752ed4b79760def06ba704063bb2216.jpg
923d537725640b71b88fe8dd2ecb0ce5.jpg
Kila inapofika Januari 1 Wanyaki tunasema TULOBHWIKE tukiwa na maana "tumeuona"
Sherehe za mwaka mpya ndo sherehe # 1 kwa umaarufu duniani ikifuatiwa na Valentine's Day
Tufurahi X 2 kwa mwaka mpya,tunywe soda X 2 kwa mwaka mpya.........na wenzetu X 2 wameshakufa. ....
Pindi ukimaliza mwaka salama na pengine kimajanga una kila sababu ya kumshukuru Mungu maana siyo wote wanaobahatika kuuona mwaka mpya
.
.
.
.
.
Shukrani kwa mliosapoti mada
Tukutane kesho
Mwisho
............
Asante kaka Bitoz...
 
1/New Year
4752ed4b79760def06ba704063bb2216.jpg
923d537725640b71b88fe8dd2ecb0ce5.jpg
Kila inapofika Januari 1 Wanyaki tunasema TULOBHWIKE tukiwa na maana "tumeuona"
Sherehe za mwaka mpya ndo sherehe # 1 kwa umaarufu duniani ikifuatiwa na Valentine's Day
Tufurahi X 2 kwa mwaka mpya,tunywe soda X 2 kwa mwaka mpya.........na wenzetu X 2 wameshakufa. ....
Pindi ukimaliza mwaka salama na pengine kimajanga una kila sababu ya kumshukuru Mungu maana siyo wote wanaobahatika kuuona mwaka mpya
.
.
.
.
.
Shukrani kwa mliosapoti mada
Tukutane kesho
Mwisho
............
Asante sana
 
Wewe hujui kumbembeleza kwani?

Mpigie afu uaze kuimba kuimba nyimbo ya kina Amitah Barchan uone..


Abbib shi-thimatha..... × 2

Abibi shi-thimatha tel mundo....× 2...


[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] T niacheeee ujue hivi nikuite naniii vile lile jina la kule mmu kwenye ile thread
 
Back
Top Bottom