Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,974
Baba D ujue leo ananigongea like tuNgoja nimuite lee mkalale...
Naona umemiss..
akiiii sijui nilichomkosea jamaan
Baba D ujue leo ananigongea like tuNgoja nimuite lee mkalale...
Naona umemiss..
akiiii sijui nilichomkosea jamaan
Nije kufanya niniiiNjoooo huku baaaasi
Shauri yako! Mtoto kapendeza hadi umemsahau..Sio yeye kwani me simjui sakayo
Aunt, shwari lakini! Usione hujapata mwaliko ukasema sipo, sijakaribisha maana nimekaribishwa tu hapa yaani ni mwendo wa pilau acacia, nyama nyingi kuliko mchele, mchele robo umekaangwa nazi tatu.
Nitarudi tena maana hapa nishamaliza round ya kwanza.

MmhShauri yako! Mtoto kapendeza hadi umemsahau..
T anajua kutunza bhana!
Mara nimfumue nywele...
Mara nimkate kucha za miguu..
Mara nikamuogeshe...
Lazima umsahau dada yako...
Nithameeee basi
Asante kakaHongera kwa 224K
Sorry ndugu zangu Waislamu
Chondechonde msiniswalie dua mbaya.....nipo kiutani tu
.....

Minal fadhina mpendwa......aiseee! Kumbe bora mmea wa bob eeeh
Eid Elftri mpendwa wangu
Wee njooNije kufanya niniii
Wewe hujui kumbembeleza kwani?Baba D ujue leo ananigongea like tu![]()
akiiii sijui nilichomkosea jamaan




Ni mkubwa bhana anajua kabisa kuongea na zaid anajua leo ni sikukuu
haya wee. Jitahidini ashura apate mdogo wakeAsante kaka Bitoz...1/New Year
Kila inapofika Januari 1 Wanyaki tunasema TULOBHWIKE tukiwa na maana "tumeuona"![]()
Sherehe za mwaka mpya ndo sherehe # 1 kwa umaarufu duniani ikifuatiwa na Valentine's Day
Tufurahi X 2 kwa mwaka mpya,tunywe soda X 2 kwa mwaka mpya.........na wenzetu X 2 wameshakufa. ....
Pindi ukimaliza mwaka salama na pengine kimajanga una kila sababu ya kumshukuru Mungu maana siyo wote wanaobahatika kuuona mwaka mpya
.
.
.
.
.
Shukrani kwa mliosapoti mada
Tukutane kesho
Mwisho
............
Sitaki jamaan ebu niacheni tuWee njoo
LovieNithameeee basi
Asante sana1/New Year
Kila inapofika Januari 1 Wanyaki tunasema TULOBHWIKE tukiwa na maana "tumeuona"![]()
Sherehe za mwaka mpya ndo sherehe # 1 kwa umaarufu duniani ikifuatiwa na Valentine's Day
Tufurahi X 2 kwa mwaka mpya,tunywe soda X 2 kwa mwaka mpya.........na wenzetu X 2 wameshakufa. ....
Pindi ukimaliza mwaka salama na pengine kimajanga una kila sababu ya kumshukuru Mungu maana siyo wote wanaobahatika kuuona mwaka mpya
.
.
.
.
.
Shukrani kwa mliosapoti mada
Tukutane kesho
Mwisho
............
Wewe hujui kumbembeleza kwani?
Mpigie afu uaze kuimba kuimba nyimbo ya kina Amitah Barchan uone..
Abbib shi-thimatha..... × 2
Abibi shi-thimatha tel mundo....× 2...
![]()
T niacheeee ujue hivi nikuite naniii vile lile jina la kule mmu kwenye ile thread
Mwenyewe naondoka ujueLovie
Twende Tulale basi
Cc. Ukhuty4/Eid Al--Adha![]()
![]()
![]()
Huangukia kati ya Septemba 1 hadi Septemba 5...anajulikana kama Greater Eid, Bakri
Husherehekewa na Waislamu duniani kote kumtukuza Mtume Ibrahim (Abraham} ambaye alimtoa sadaka mwanawe wa kwanza wa kiume airways Ismail
Waislamu fafanueni zaidi
.......