Transcend
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 20,553
- 63,058
Hahahaaa....Sitaki jamaan ebu niacheni tu
Hahahaaa....Sitaki jamaan ebu niacheni tu
Naombaaa eehLovie
Twende Tulale basi
Niiite tuuu mama![]()
![]()
![]()
T niacheeee ujue hivi nikuite naniii vile lile jina la kule mmu kwenye ile thread
Sepaa tuuMwenyewe naondoka ujue
Huna sababu ya kuomba love..Naombaaa eeh
Baby..Lovie
Twende Tulale basi
Sawa lovieBaby..
Naomba utangulie chumbani mama..
Nakuja muda si mrefu...
I love you my love..
Good tena nilisoma kwenye magazeti yako hayo hayoAlifariki mwezi uliopita
Baba D ujue leo ananigongea like tu![]()
akiiii sijui nilichomkosea jamaan
Good tena nilisoma kwenye magazeti yako hayo hayo
![]()
![]()
haya wee. Jitahidini ashura apate mdogo wake
Nawashangaa Waislamu hamjafafanua kitu chochote hata nilipokosea kuandika Ibrahim ni mtume(apostle) badala ya nabii(prophet) hamjaonaCc. Ukhuty
Leo sikukuu halafu unapika makande ya njugumawe! Ngoja tu undelee kugongewa like, tena na nyingine nimekugongea mimi
binamu sitaki jamaani mimiAsante sana
Pamoja sana wadauAsante kaka Bitoz...
Asante mkuu1/New Year
Kila inapofika Januari 1 Wanyaki tunasema TULOBHWIKE tukiwa na maana "tumeuona"![]()
Sherehe za mwaka mpya ndo sherehe # 1 kwa umaarufu duniani ikifuatiwa na Valentine's Day
Tufurahi X 2 kwa mwaka mpya,tunywe soda X 2 kwa mwaka mpya.........na wenzetu X 2 wameshakufa. ....
Pindi ukimaliza mwaka salama na pengine kimajanga una kila sababu ya kumshukuru Mungu maana siyo wote wanaobahatika kuuona mwaka mpya
.
.
.
.
.
Shukrani kwa mliosapoti mada
Tukutane kesho
Mwisho
............