Youngblood
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 19,504
- 57,045
Atakuwa anachepuka this time.Kama sio kitandani na blanket zito yuko gest house trust me hii baridi ya dar sio mchezo
Hahahaa hivi cute b yuko wapi sumbaiHa haaa zipigwe tuu Hamna namna.enzi zile my waifu anasumbua kuna Jamaa walinikosesha usingizi
WeweeKama sio kitandani na blanket zito yuko gest house trust me hii baridi ya dar sio mchezo

Muda si mrefu atagongwa.Atakula za uso sasa hiv
Manuu nakuonaNakukubali sana ndugu yangu na isinge kuwa hivyo usingekuta shemeji yangu aggyjay katulia na wewe mpaka sasa..So youngblood yafaa akubali tu..
Ukitaka kujua watengenezaji wa barabara zetu ni mbumbumbu wa kufikiri wakati wa mvua kunyesha pita tangi bovu mbezi beach ni mafuriko kwakwenda mbele
Nakuona shemWewee![]()
![]()
Eti bibie naweza pata hifadhi?Habari ndio hiyo sasa
Bado Mimi tu
Nipo mamaUpo baba![]()
![]()
Naona unamwita mzee E akupe za usoI'm fine.
Miss you![]()
.
Yuko hukuHahahaa hivi cute b yuko wapi sumbai
Sooner or later we na bwanangu mtagawana majengo ya serikali..We utaenda muhimbili ye segerea..WE subiri..I'm fine.
Miss you![]()
.

Unamtafuta wewe kama nani?Damtanzania where are you?
Nimeliona hiloSooner or later we na bwanangu mtagawana majengo ya serikali..We utaenda muhimbili ye segerea..WE subiri..![]()
![]()
![]()
Hivi huchoki kmchokonoa![]()
![]()
![]()
Kijana una wivu kama nyegereUnamtafuta wewe kama nani?