Makapuku Forum

Makapuku Forum

Watu wanachopinga ni "kauli" siyo msimamo
Ameongea kama vile ni mzee muhuni muhuni tu .....hajaongea kama "Rais"
Angeweza kusema "kuwaruhusu wanafunzi wajawazito kuendelea na masomo siyo sahihi na angeeleweka ila siyo kuongea kwa kebehi,masimango,dharau n.k
.......
Uko sahihi sana, kauli kama ile haipaswi kutoka kinywani mwa kiongozi
 
Nawatakia Asubuhi njema ...!!
b5c0036286c55276815989df064d3aab.jpeg
 
1972 - Watergate Scandal: Rais wa Marekani Richard Nixon na Mnadhimu Mkuu wa Ikulu ya Whiye House wanarekodiwa mipango yao ya kutaka kutumia CIA kuharibu upelelezi uliofanywa na FBI kuhusiana na Skendo hiyo nzito kuwahi kutikisa Marekani.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom