shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Unaruhusiwa kutumia simu?Karibu mkuu Niko kibiti stendi hapa
Unaruhusiwa kutumia simu?Karibu mkuu Niko kibiti stendi hapa
TukopoaNiaje brothers and sisters..
Mkuuu
Bia kama zilivyo Serengengeti, kilimanjaro nk. Ni maarufu sana kanda ya ziwa hasa Kagera, Mwanza na MaraHv balimi ndio pombe gani?! Au ni aina mpya ya bia?
Kuuliza sio ujinga msinicheke
Ahsante mkuu, wazo lako limebarikiwa kama lilivyo jina lako.Mungu awabariki anyooshe mapito mmalize salama Ramadhan Kareem
Uko sahihi sana, kauli kama ile haipaswi kutoka kinywani mwa kiongoziWatu wanachopinga ni "kauli" siyo msimamo
Ameongea kama vile ni mzee muhuni muhuni tu .....hajaongea kama "Rais"
Angeweza kusema "kuwaruhusu wanafunzi wajawazito kuendelea na masomo siyo sahihi na angeeleweka ila siyo kuongea kwa kebehi,masimango,dharau n.k
.......
...heeeh, ! Hebu jioni tukutane tuongee masuala ya kihisia zaidi mimi na wewe

MorningMukongo morning
Sizonje anazinguaUko sahihi sana, kauli kama ile haipaswi kutoka kinywani mwa kiongozi
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
MUNGU AKUPE KUSHINDA...UPITAPO KATIKA MAJI MENGI,HUTAGHARIKISHWA,MWAMINI MUNGU HAYO YOTE YATAPITA....![]()
![]()
![]()
![]()
nipo busy tu Mpendwa, Hakuna magumu nipitiayo.....namshukuru Mungu.....thanks for caring

Anaudhi sana, ni kiongozi gani asiyejifunza karibu ana miaka miwili sasa?Sizonje anazingua
Tushamzoea
.....
Nafurahi kusikia hivyo,pole dear am Blessed to have you he re ubarikiwe![]()
nipo busy tu Mpendwa, Hakuna magumu nipitiayo.....namshukuru Mungu.....thanks for caring
![]()
![]()
![]()

Amen thanksNawatakia Asubuhi njema ...!! View attachment 529208
Long time kumbe!1894 - International Olympic Committee ( IOC ) yaanzishwa huko Paris.