Makapuku Forum

Makapuku Forum

30d4a025128205fa4b31c01b295389a5.jpg
77a1ea478b849d268e55861eb390f8e1.jpg
Mdau Garang hajawahi kuwa Rais wa Sudan Kusini bali tu mwasisi wa Taifa hilo hadi wakati anafariki Sudan Kusini haikuwa nchi/bado haikupata Uhuru....kawahi tu kuwa sijui Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Sudan ya Omar Bashir
24c3d56c0fce4b6614ae258417a21785.jpg
a371e0879bf44255878905b3784a33dc.jpg
Huyu jamaa mvuta bangi ambaye huko ni Waziri ni mwanawe
Jamaa ni mchafumchafu na Vituko kibao ila ana IQ kubwa fuatilieni interview zake
......
Alikuwa Rais wa Chama cha SPLM, kwa kwetu huku ni mwenyekiti wa Chama

Mtoto wa Garang anavituko sana
 
1972 - Zinedine Zidane anazaliwa.

Kiungo wa zamani wa Juventus, Real Madrid na timu ya taifa ya Ufaransa.

Ni kocha wa sasa Real Madrid.

Ameshinda mataji yote katika soka. Ni mmoja wa wachezaji bora wa kizazi chake.
5d7eccccec229dd6820431920a810c7f.jpg
14ee251e956f859ccde9556e4c710138.jpg
cda77ccbf0210186ea81c1c5f53cfd75.jpg
Kwenye fainali ya UCL dhidi ya Bayer Leverkusen alipiga bonge la bao baada ya kupigwa krosi kutoka upande wa kushoto (R.Carlos ?) mpira ilikuwa ni wa juu kidogo bila kutuliza akaachia chuma na kuwa moja kati ya goli bora la muda wote
Real akabeba ndoo
be453c476c87aca064414fcc5513da91.jpg
ce54249f2337de52d52aa91740082fa5.jpg
a189491d1dd527a72280f39288d075c9.jpg
Mwaka 1998 pale Paris fainali ya WC akawapiga Brazil goli mbili za kichwa kisha Emmanuel Petit akamalizia kazi .
Brazil akafa 3:0 . Majogoo ya blue yakabeba ndoo huku Ronaldo De Lima akisemekana aliugua degedege na kufulia
.......
 
1976 - Patrick Vieira anazaliwa.

Kiungo wa zamani wa Arsenal, Juventus na timu ya taifa ya Ufaransa.

Alikuwepo katika kizazi cha dhahabu cha Ufaransa kilichotwaa ubingwa wa Kombe la Dunia mwaka 1998 katika ardhi ya nyumbani.

Klabuni Arsenal anakumbukwa kwa mchango wake mkubwa sana katika eneo la kiungo cha kukaba.
2e9911b8e1dc2f05ce87365acf60adce.jpg
809918654778bdaf3069363281528ee3.jpg
Yeye na Roy Keane walikuwa hawapatani kila siku ugomvi katikati ya dimba
Baada ya kusepa wajaja viungo laini akina Denilson na Andersson
Siku hizi mpira umekuwa mchezo wa wavulana
......
 
1976 - Patrick Vieira anazaliwa.

Kiungo wa zamani wa Arsenal, Juventus na timu ya taifa ya Ufaransa.

Alikuwepo katika kizazi cha dhahabu cha Ufaransa kilichotwaa ubingwa wa Kombe la Dunia mwaka 1998 katika ardhi ya nyumbani.

Klabuni Arsenal anakumbukwa kwa mchango wake mkubwa sana katika eneo la kiungo cha kukaba.
HBD PatrickVieira
 
30d4a025128205fa4b31c01b295389a5.jpg
77a1ea478b849d268e55861eb390f8e1.jpg
Mdau Garang hajawahi kuwa Rais wa Sudan Kusini bali tu mwasisi wa Taifa hilo hadi wakati anafariki Sudan Kusini haikuwa nchi/bado haikupata Uhuru....kawahi tu kuwa sijui Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Sudan ya Omar Bashir
24c3d56c0fce4b6614ae258417a21785.jpg
a371e0879bf44255878905b3784a33dc.jpg
Huyu jamaa mvuta bangi ambaye huko ni Waziri ni mwanawe
Jamaa ni mchafumchafu na Vituko kibao ila ana IQ kubwa fuatilieni interview zake
......
Mara nyingi wenye akili nyingi, kwa upande mwingi hufanya vitu vya kipuuzi sana
 
Mwaka mmoja Sasa umepita, waingereza wanajuta kujitoa
Hawakutegemea. Nina shemeji yangu amechukua uraia wa huko alikuwa shabiki sana wa Brexit sasa anajuta balaa. Makampuni makubwa yameanza kuhamisha makao makuu yao kutoka London kwenda Frankfurt. Na huyu mama Theresa May nadhani ni Ms. Dhaifu. Na haijulikani kitakachotokea...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom