Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
KaribuTUPATE DONDOO ZA MAGAZETI YA LEO
KaribuTUPATE DONDOO ZA MAGAZETI YA LEO
..asiingilie masuala ya shule na taratibu zake, mbona huwa tuna vipindi vya mapumziko, kwenda kulima shamba la shule. Unawekwa utaatibu muda wa kunyonyesha vipindi vinakuwa na break.

Huyu mzee naee
AsanteeeView attachment 529144Sina la ziada kutoka magazetini Tukutane tena kesho Kwa udhamini mnono wa Ankali JJ
Muwe na siku njema
Bhinamu umeamsheajee ??Asante kwa maombi, uwe na siku njema
Suala la mabinti hakika linahitaji mjadala,na aseme kilichojaa moyoni mwake huenda ikawa ni more personal,kitaifa,kikatiba kuzuia wasirudi shule....haimezekiKatika dondoo za bbc. ..
Kauli ya Rais wa Tanzania John Magufuli kwamba wasichana wanafunzi wanaopata ujauzito wasirudi shuleni imepingwa na baadhi ya wananchi na wanaharakati wakisema wasichana hawa wana haki ya kikatiba kuendelea na elimu.
Waziri mkuu wa Uingereza THERESA May amewasilisha mipango yake, kuhakikisha haki za raia wa Umoja wa Ulaya nchini Uingereza, baada ya kuondoka katika Umoja wa Ulaya.
Leo ni siku ya wajane duniani. Mataifa mengi ya Afrika yamelaumiwa kwa kuwapuuza wajane. Tanzania ni miongoni mwa mataifa hayo.
Raia mjini kinshasa wawamwagia mzigo wa lawama wahubiri injili, mapasta pamoja na wamiliki wa baa kwa kusabisha kelele kwa jamii na kusababisha watu kukosa usingizi
Ujumbe wa waisilamu kutokea nchini Kenya upo nchini A-Kusini kuleta umoja baina ya raia wa A-Kusini kuweza kuelewa mahubiri ya dini ya kiisilamu katika mwezi huu mtukufu wa Ramadhani
Ukuaji wa teknolojia unaoenekana kushika kasi Nchini Kenya huku wanablogu wakizidi kuongezaka, hijabi bloggers ndo kivutio
YAKOBO 1UF ....![]()
Asante kwa simulizi ina gusa sana,asante kwa UF,asante kwa dondoo za BBC kazi yako ni njema Lee wa Shunie ubarikiwe.Tuwe na siku njema na maandalizi mema ya kumaliza wiki ..wapi umekosea /kujikwaa yote mipango ya Mungu tusikate tamaa
Ubarikiwe mkuu Shululu siku njema kwakoAmen mama mchungaji
Asante kwa kutuamsha kwa neno
Ubarikiwe sana nawe siku njema
Asante sanaTUPATE DONDOO ZA MAGAZETI YA LEO
Niko poa mpendwa wangu mwayaUliniita kimya kimya labda 🙂, nilikuwa na ishu zimenibana bana kidogo, ila thanks nimezipunguza kwa sana tu. Uko poa lakini? Nimekumiss
Duuuu..mi nilipigwaga ya siku 2 tu but niliiona km mwakaIlikuwa ya mwezi mkuu
Hv balimi ndio pombe gani?! Au ni aina mpya ya bia?Mpendwa wako Obe anapenda ofa za balimi tu
Mambo ya balimi makinikia na wahamiaji ......Niko poa mjomba, just kujipanga kuisaka Ijumaa , si unajua yale mambo ya wikend yanajongea.
Uko poa lakini?
Ubarikiwe sana mkuu Shululu kazi yako ni njema asanteView attachment 529144Sina la ziada kutoka magazetini Tukutane tena kesho Kwa udhamini mnono wa Ankali JJ
Muwe na siku njema
Amen ubarikiwe ObeAsante kwa maombi, uwe na siku njema
Mwenyewe hapa nasikia usingizi unakuja na vigelegele, nadhani utakuwa usingizi jike
kumbe kuna usingizi jike na dume?!