Makapuku Forum

Makapuku Forum

Goodmorning Wapendwa.....Me nipo, mambo yamekuwa mengi.....Mungu awalinde na kuwabariki.

BH love mingi sana kwako, I love love love you[emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji173] [emoji7]
[emoji253] [emoji253] [emoji253] [emoji253] [emoji253] [emoji253] [emoji253] [emoji253] [emoji253]
[emoji7] [emoji7] [emoji7] [emoji7] [emoji7] [emoji7] [emoji7] [emoji7] [emoji7]

MUNGU AKUPE KUSHINDA...UPITAPO KATIKA MAJI MENGI,HUTAGHARIKISHWA,MWAMINI MUNGU HAYO YOTE YATAPITA....[emoji7] [emoji7] [emoji7] [emoji7]
 
d5fc607ee59c8d001f85bd1b3ee80406.jpg
Sure
 
[emoji253] [emoji253] [emoji253] [emoji253] [emoji253] [emoji253] [emoji253] [emoji253] [emoji253]
[emoji7] [emoji7] [emoji7] [emoji7] [emoji7] [emoji7] [emoji7] [emoji7] [emoji7]

MUNGU AKUPE KUSHINDA...UPITAPO KATIKA MAJI MENGI,HUTAGHARIKISHWA,MWAMINI MUNGU HAYO YOTE YATAPITA....[emoji7] [emoji7] [emoji7] [emoji7]
b8105c53aa0d857eeec14a8232a93062.jpg
 
Kuna wakati unahisi umebaki peke yako kwa kuwa ndugu jamaa n'a marafiki wamekutenga lakini nikuambie ni kweli watakutenga lakini yuko mmoja tu ambaye hatakutenga naye ni Mungu muumba wa mbingu n'a ardhi Mungu wa Abraham Isaka n'a yakobo

Huyu pekee atakurudishia tena hao waliokutenga

Asubuhi njema makapuku forum
Thanks.
Nawe ppia mkuu


Mungu yu mwema sana kwetu
 
Watu wanachopinga ni "kauli" siyo msimamo
Ameongea kama vile ni mzee muhuni muhuni tu .....hajaongea kama "Rais"
Angeweza kusema "kuwaruhusu wanafunzi wajawazito kuendelea na masomo siyo sahihi na angeeleweka ila siyo kuongea kwa kebehi,masimango,dharau n.k
.......
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] huyu ndio alivyo jamani tumzoee tu maana ndio prezdaa wetu tenaa hatuna ujanjaa

Hii sio Mara ya kwanza wala pili wajameniii huyu ndio Magufuli ukisikia mwengine ujue fotokopi huyoo
 
Back
Top Bottom