Makapuku Forum

Makapuku Forum

e5210fdc69557f032c75d79a5e5f6baf.jpg

......
hiyo lugha ilikuja na meli
 
  • Thanks
Reactions: Lee
AYUBU 11

17.Na maisha yako yatakuwa meupe,kuliko adhuhuri;Lijapokuwa ni giza litakuwa kama alfajiri.

18.Nawe utakuwa salama kwasababu kuna matumaini.Naam utatafuta-tafuta kando yako ,na kupumzika katika salama

19.Tena utalala ,wala hapana atakayekutia hofu;Naam wengi watakutafuta uso wako.

MALAIKA WALINZI WAWEKE VITUO MAJUMBANI MWENU NA WAZUNGUKE VITANDA VYENU DAMU YA YESU IWAFUNIKE USIKU MWEMA MBARIKIWE
Ameni yarabi
 
..asiingilie masuala ya shule na taratibu zake, mbona huwa tuna vipindi vya mapumziko, kwenda kulima shamba la shule. Unawekwa utaatibu muda wa kunyonyesha vipindi vinakuwa na break.
JK Alikuwa smart kimuonekano na iongeaji
Sizonje yupo hpvyo kimuonekana na uongeaji/kauli zake zimejaa mipasho,kejeli & masimango
Huwezi kusikia kahutubia ukakosa kusikia hayo
Ana ushamba fulani na pia kiburi cha madaraka hafimirii wananchi wanajisikiaje sanasana atachochea utoaji mimba,wasichana kufa wakati wakitoa mimba,kujua n.k.....kibinadamu kujizuia kusex sio simple aisee na ubora wa elimu hauletwi na watu kuwa mabikra
.....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom