BlessedHope
JF-Expert Member
- Jan 29, 2016
- 7,988
- 32,649
Ubarikiwe Lee wa ShunieAmeeeeeeiiiiiiniiiii
Ubarikiwe Lee wa ShunieAmeeeeeeiiiiiiniiiii
...siku hazigandi japo zinakwenda polepole na leo. Kiujumla mambo poa kabisa sema michakato tu si unajua ukiwa huwezi kuiba inabidi ufanye tu kazi halali

Poleni sanaDuuuu..mi nilipigwaga ya siku 2 tu but niliiona km mwaka
Mungu awabariki anyooshe mapito mmalize salama Ramadhan KareemMfungo 28 leo hivyo bado siku 1 au 2! Mwadaumwadau ya Ramadhaan!
Nakwako pia ubarikiweAsubuhi njema!
Mambo ya balimi makinikia na wahamiaji ......
Punguza hizo mambo mpendwa ukiacha BH utampata faster tu

Groups za nini? Kuna habari mpya hapa Jukwaani kuhusu magroup na sijaiona?
Hii tabia yangu ya kuwa wa mwisho kupata news sio nzuri kiafya

Ameni yarabiAYUBU 11
17.Na maisha yako yatakuwa meupe,kuliko adhuhuri;Lijapokuwa ni giza litakuwa kama alfajiri.
18.Nawe utakuwa salama kwasababu kuna matumaini.Naam utatafuta-tafuta kando yako ,na kupumzika katika salama
19.Tena utalala ,wala hapana atakayekutia hofu;Naam wengi watakutafuta uso wako.
MALAIKA WALINZI WAWEKE VITUO MAJUMBANI MWENU NA WAZUNGUKE VITANDA VYENU DAMU YA YESU IWAFUNIKE USIKU MWEMA MBARIKIWE
![]()
![]()
Asante mama mchuchuAsante kwa simulizi ina gusa sana,asante kwa UF,asante kwa dondoo za BBC kazi yako ni njema Lee wa Shunie ubarikiwe.
Morning ....Niko poa mpendwa wangu mwaya
Pole na ubize my
Asante mkuuMfungo 28 leo hivyo bado siku 1 au 2! Mwadaumwadau ya Ramadhaan!
Oooooh balimi Extra lager ....bia anayoipenda mpendwa wakoHv balimi ndio pombe gani?! Au ni aina mpya ya bia?
Kuuliza sio ujinga msinicheke
Mambo ya balimi makinikia na wahamiaji ......
Punguza hizo mambo mpendwa ukiacha BH utampata faster tu

JK Alikuwa smart kimuonekano na iongeaji..asiingilie masuala ya shule na taratibu zake, mbona huwa tuna vipindi vya mapumziko, kwenda kulima shamba la shule. Unawekwa utaatibu muda wa kunyonyesha vipindi vinakuwa na break.