Makapuku Forum

Makapuku Forum

WARUMI 8

31.Basi ,tuseme nini juu ya hayo?MUNGU akiwa upande wetu,ni nani aliye juu yetu.

Asante BABA kutufukisha jioni hii salama,hakika tunakuona MUNGU katika kila jambo asante kwa amaani ,upendo,furaha,umoja na mshikamano mahali hapa ,hakuna kama wewe mfalme wa amani asante kututia nguvu,kutupa tumaini kilabtulipotaka kushindwa siku ya leo,ulitupa kushinda,ulitushika mkono hukutuacha...upo upande wetu daima tunakuona katika kila hatua ya maisha yetu..asante BABA kwa ushindi huu tutakupenda na kukushukuru daima maana hakuna kama wewe.

Baba jioni ya leo endelea kutuangalia hata tuimalize siku salama tukifundishana na kupeana mambo sawa na utukufu wako,asante maana utatupa kushinda..endelea kutuponya,endelea kutatua changamoto mbalimbali tunakutegemea wewe tu.
Tunaomba na kushukuru Amen

JIONI NJEMA WAPENDWA
 
WARUMI 8

31.Basi ,tuseme nini juu ya hayo?MUNGU akiwa upande wetu,ni nani aliye juu yetu.

Asante BABA kutufukisha jioni hii salama,hakika tunakuona MUNGU katika kila jambo asante kwa amaani ,upendo,furaha,umoja na mshikamano mahali hapa ,hakuna kama wewe mfalme wa amani asante kututia nguvu,kutupa tumaini kilabtulipotaka kushindwa siku ya leo,ulitupa kushinda,ulitushika mkono hukutuacha...upo upande wetu daima tunakuona katika kila hatua ya maisha yetu..asante BABA kwa ushindi huu tutakupenda na kukushukuru daima maana hakuna kama wewe.

Baba jioni ya leo endelea kutuangalia hata tuimalize siku salama tukifundishana na kupeana mambo sawa na utukufu wako,asante maana utatupa kushinda..endelea kutuponya,endelea kutatua changamoto mbalimbali tunakutegemea wewe tu.
Tunaomba na kushukuru Amen

JIONI NJEMA WAPENDWA
na kwako pia Mama ubarikiwe sana
 
Saa ngapi kampa makavu yule mke mwema wa jf sababu espy alikuwa analike tu post zetu akawa anacheka na ushimen mimi kurudi kwenye post imewekwa kufuli na comments zote zimefutwa na we ndio kuniambia espy kapewa ban ujue nisingejua
Pole kwa mnaopigwapigwa ban
Sijawahi kupigwa ban
Huwa najiepusha na migogoro
Hata mtu anitukane huwa namuignore
Nitapungukiwa nini?
......
 
WARUMI 8

31.Basi ,tuseme nini juu ya hayo?MUNGU akiwa upande wetu,ni nani aliye juu yetu.

Asante BABA kutufukisha jioni hii salama,hakika tunakuona MUNGU katika kila jambo asante kwa amaani ,upendo,furaha,umoja na mshikamano mahali hapa ,hakuna kama wewe mfalme wa amani asante kututia nguvu,kutupa tumaini kilabtulipotaka kushindwa siku ya leo,ulitupa kushinda,ulitushika mkono hukutuacha...upo upande wetu daima tunakuona katika kila hatua ya maisha yetu..asante BABA kwa ushindi huu tutakupenda na kukushukuru daima maana hakuna kama wewe.

Baba jioni ya leo endelea kutuangalia hata tuimalize siku salama tukifundishana na kupeana mambo sawa na utukufu wako,asante maana utatupa kushinda..endelea kutuponya,endelea kutatua changamoto mbalimbali tunakutegemea wewe tu.
Tunaomba na kushukuru Amen

JIONI NJEMA WAPENDWA
Asante mama mchungaji kwa neno la jioni,ubarikiwe sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom