Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,870
comments nyingii zimefutwaMimi sijaona sababu ya watu kula ban ...
Anway! Poleni
comments nyingii zimefutwaMimi sijaona sababu ya watu kula ban ...
Anway! Poleni
mmhNatafuta mke lakini kigezo awe mshabiki wa arsenal kwa miaka isiyopungua mitano..lengo kuu ni kupata mwanamke mvumilivu
Acheni kutuchezea akili weww lee..mmh
una undugu na baba d
Wafute na uzi kabisa..comments nyingii zimefutwa
umeanza ujue me najuaje kama huyo leeAcheni kutuchezea akili weww lee..
hahah wafute tu hauna maanaWafute na uzi kabisa..
Kwani kuna group za whatsapp za jamii foriums ??Tatizo baba d unapenda sana kupuuza vitu nilikutumia ili usome sababu we hautembei mambo ya group za wasap huko jf
Aiseeeeehna we ungekuepo ban ingekuhusu mana unashindwaga kuvumilia![]()
Wewe Man ushemela umeanzaaa naipenda toka moyoniii
Natafuta mke lakini kigezo awe mshabiki wa arsenal kwa miaka isiyopungua mitano..lengo kuu ni kupata mwanamke mvumilivu
huyo atakuwa mvumilivu automaticAsante mkuu
Asante Toz
Asanteee
Asante mkuu Bitoz ubarikiwe sana
Ubarikiwe sana kwa majitoleo yako kwetu
Pamoja sana wadauAsante bitoz kwa kumi kubwa
KivipAcheni kutuchezea akili weww lee..
Nini??umeanza ujue me najuaje kama huyo lee
Zipo huko nyingii tu watu walikuwa wanaongea waliokuwepo huko yanayofanyika na kutongozana na kuuzana na kusema watu wasiokuwepoKwani kuna group za whatsapp za jamii foriums ??
Kwani nimekataa jamaanWewe Man u
ni nani huyo
anasema mbona mmefanana majina ni id yako nyingineNini??