Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,463
Babuuu sijui kafanya nini yeye, labda alianza storime nilitoka kabisa jf hivi babu kalaje ban ila ban ya leo ya espy inaniuma sana masikini sijaona kosa lake
Babuuu sijui kafanya nini yeye, labda alianza storime nilitoka kabisa jf hivi babu kalaje ban ila ban ya leo ya espy inaniuma sana masikini sijaona kosa lake
Vyote tu, muone kama utahitaji msaada katika mojawapo ya viwili hivyo, au kila kimojaKakuelekeza picha au ngeli?
Tetra za wewe mzee wa kutekwaMwanaume, huoni hata mwandiko??
Nipoa, nifanyeje ili usahau??Tetra za wewe mzee wa kutekwa
Saa ngapi kampa makavu yule mke mwema wa jf sababu espy alikuwa analike tu post zetu akawa anacheka na ushimen mimi kurudi kwenye post imewekwa kufuli na comments zote zimefutwa na we ndio kuniambia espy kapewa ban ujue nisingejuaKumbe kabla ya uzi kufungwa alimpa makavu yule Kungwi... Ndo a kala ban
Hahahah ila babu ni chizi jamaan sijui kafanya nini na Nalendwa alitaka kumuanzishia yule kungwi ile post ingeondoka na wengiBabuuu sijui kafanya nini yeye, labda alianza stori
Nitafanya uchunguzi wa hili, na nitaleta majibu
Kweli kabisa. Hili halina hata chenga ya daut
Mwishoni kabisaa eti naambiwa kampa povu ndo uzi ukafungwa.. Mie sikuona nimekuta pm yake ile nafungua nakutana na banSaa ngapi kampa makavu yule mke mwema wa jf sababu espy alikuwa analike tu post zetu akawa anacheka na ushimen mimi kurudi kwenye post imewekwa kufuli na comments zote zimefutwa na we ndio kuniambia espy kapewa ban ujue nisingejua
Pale tusingeponaaHahahah ila babu ni chizi jamaan sijui kafanya nini na Nalendwa alitaka kumuanzishia yule kungwi ile post ingeondoka na wengi
Niliwahi kumvaa akiwa katika kaptula ya shule wakati niko shule ya msingi,Na kuuma hivyohivyo halafu humuoni
Hapa nimetoka kapa aiseeEnd![]()
.....
Sikufatiliaa ni ya niniMmh Baba D unakumbuka ile link niliyokutumia asubuhi kuhusu magroup ya wasap humu jf
Sio ubishi aiseeAcha ubishi banaa
Man Unitedtena kupenda vitu vizuri mkuu hakuna anaependa kibaya
Shem swtyLeo tumepona... Hakyamama naacha umbea
AmenMITHALI 3
1.Mwanangu,usiisahau sheria yangu ,Bali moyo wako uzishike amri zangu.
2.Maana zitakuongezea wingi wa siku,Na miaka ya uzima.
3.Rehema na kweli zisifarakane nawe,Zifunge shingoni mwako;Ziandike juu ya kibao cha moyo wako.
4.Ndivyo utakavyopata kibali na akili nzuri ,Mbele za MUNGU na mbele za mwanadamu.
5.Mtumaini BWANA kwa moyo wako wote,Wala usizitegemee akili zako mwenyewe .
6.Katika njia zako zote mkiri yeye ,Naye atanyoosha mapito yako.
7.Usiwe mwenye hekima machoni pako;Mche BWANA ,ukajiepushe na uovu.
8.Itakuwa afya mwilini pako Na mafuta mifupani mwako.
BABA MUNGU ANASEMA NASI MCHANA WA LEO TUMSIKILIZE TUMTII NA TUCHUKUE HATUA ,TUMTUMAINI YEYE KWA MOYO WOTE TUSITEGEMEE AKILI ZETU ,TUMKIRI ILI ANYOOSHE MAPITO YETU,ATUONGEZEE UMRI WA KUISHI,ATUPE AFYA YA MWILI NA ROHO KAMWE HATATUACHA.
MCHANA MWEMA MBARIKIWE![]()
![]()
Call her please..Acha tu Baba D ningekumiss