Makapuku Forum

Makapuku Forum

10/Dolphin
0e0dad76707b7164c317eb02b305aeb8.jpg
b0f2dc580d9fdb919dc8fef398251900.jpg
Kwa kiswahili cha TUKI huitwa pomboo
Huyu huishi baharini
Ana meno ambayo huota kama miti namaainisha unaweza kuyakata/vunja na kisha kuyaangalia na kugundua umri wao(wataalamu wa wanyama wanaelewa)
Meno yao ni kama tree rings
.......
I see,Mungu anatisha kwa uumbaji huu tumtafakari sana
 
6/Piranha
84c7f80f8364a0399cb1cf06e873250d.jpg
0a6aa5bfd3bd8715902e1b71efb04690.jpg
3a14d94b2441a97472aff50d2edfceae.jpg

Ni aina ya samaki anayepatikana huko Brazil kama jina lake linavyofanana na akina Ronaldinho
Ana meno makali yanayofanana na wembe ambayo humwezesha kupambana na maadui zake pamoja na mawindo
Qana uwezo wakumuua/kumchanachana ng'ombe kwa kutumia meno yao ndani ya sekunde kadhaa tu
.........
kuna movie niliicheck ilikuwa ni majanga ya hawa samaki nikajua ni movie tu... kumbe hivo viumbe vipo kweli..!!
 
6/Piranha
84c7f80f8364a0399cb1cf06e873250d.jpg
0a6aa5bfd3bd8715902e1b71efb04690.jpg
3a14d94b2441a97472aff50d2edfceae.jpg

Ni aina ya samaki anayepatikana huko Brazil kama jina lake linavyofanana na akina Ronaldinho
Ana meno makali yanayofanana na wembe ambayo humwezesha kupambana na maadui zake pamoja na mawindo
Qana uwezo wakumuua/kumchanachana ng'ombe kwa kutumia meno yao ndani ya sekunde kadhaa tu
.........
Kama vile yamechongwa acha Mungu aitwe Mungu...ndugu zangu wa Nchale naona wanachonga kwa mtindo huu
 
3/Dragonfish
23c6c4ae70a93fa9f70c50111b63db57.jpg
8085400016de9dcba2c760ebc2625987.jpg
2db084843307bcd9063dec643a799eb0.jpg
Samaki hawa huishi baharini kwenye kina kirefu......nafikiri wanapatikana Asia pekee kama jina lao Dragon
Ni samaki wenye uwezo mdogo wa kuona na pengine ni vipofu jsbisa hivyo hupendelea kuishi gizani zaidi ili kujilinda na maadui au pengine hawajui raha ya mwanga
Hawa samaki meno yao huota kwenye ulimi badala ya kwenye fizi
.......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom