Makapuku Forum

Makapuku Forum

Binamu mimi na wewe tuna ugomvi? au we leo umetokea kuichukia mimba changa


Haha hahahaha, hapana , si hivyo hata kidogo , tigombane mimi na wewe tena, haiwezekani.

Hill la mimba changa hata sijui lilitokea wapi, unajua hii simu sometimes huwa nikiandika jambo moja inaleta jingine. Labda nije niifomati
 
Haha hahahaha, hapana , si hivyo hata kidogo , tigombane mimi na wewe tena, haiwezekani.

Hill la mimba changa hata sijui lilitokea wapi, unajua hii simu sometimes huwa nikiandika jambo moja inaleta jingine. Labda nije niifomati
Nilitaka kushangaa binamu labda me na wewe tuna ugomvi halaf sijijui

La mimba changa ni kweli binamu wala simu haijakosea na inanisumbua kweli tena nikisikia hizo habari zenu najisikia hata kichefu chefu

Hii mimba kiboko haitaki habari za makinikia wala wahamiaji haramu wala wale wengine
 
1. Paolo Maldini ( Ac Milan #3 )

Miaka 25 akiwa na Milan huku akitwaa mataji 26 ilitosha kabisa kustaafisha jezi ya Nahodha huyo mwenye mafanikio zaidi klabuni hapo.

paolo_maldini_getty.jpg



Mwisho
sante mkuu
 
Nilitaka kushangaa binamu labda me na wewe tuna ugomvi halaf sijijui

La mimba changa ni kweli binamu wala simu haijakosea na inanisumbua kweli tena nikisikia hizo habari zenu najisikia hata kichefu chefu

Hii mimba kiboko haitaki habari za makinikia wala wahamiaji haramu wala wale wengine

Kumbe haitaki hizi habari , pole sasa ile ripoti ya makinikia itabidi tuizuie serikali kuitangaza

Wahamiaji haramu hawana tatizo na kuanzia leo msako mkali unaendelea kuwaondoa hapa mjini. Uwe na uhakika hutowasikia tena, labda kwa bahati mbaya
 
Huyu fundi fundi ndo alinipeleka kwa mkopo Darajani na nikajisajiri.

Ujue ni kutokuwa na records tu, hata mimi timu yangu ya kitaa imetunza jezi yangu kwa heshima maana two times tulishinda mbuzi mnyama cup na one time tukawa mabingwa wa kugombea jezi cup.

Utauliza jezi yangu namba ngapi!? Well, jezi haikuwa na namba, siku hizi jezi zina namba na isiyo na namba wameitunza kwa heshima yangu kiungo mkabaji.

Asante sana mpenzi msomaji
Ya kweli hayo mpendwa?
 
4/Juana Chox Yac
f04404aa95da586afc61b5a69269ba7b.jpg
3adca081e02926c03caab2075c526a7c.jpg

Alizaliwa Novemba 29 1893 nchini Guatemala
Amewahi kushikilia rekodi ya dunia ya mtu mzee zaidi duniani hadi mauti yalipomfika
Alipatiwa kitambulisho cha Taifa mwaka 2012 baada ya vielelezo kujitosheleza bila chenga kwamba kazaliwa karne ya 19
Ameacha vitu kuu kibao
Alikuwa na umri wa miaka 122 wakati anafariki dunia 2015
.......
 
1/Dhaqabo Ebba
118fb4bfef6099f4bb3e8cfc41363089.jpg
de139d640bfe52257117e905eae0a502.jpg
bb0c1efc0b9b66e047cfff9a932d57c9.jpg

Ni Muethipia alizaliwa miaka ya 1850's
Muda wake mwingi anejishughulisha na kilimo
Sijaona mahali popote kama huyu babu keshafariki(sina uhakika)
Kinachomnyima tunzo ya kuwa mtu mzee zaidi duniani ni ukosevu wa ushahidi kamili pia Wazungu hujipendelea tu kwa kila jambo
Ana umri wa zaidi ya miaka 160
.
.
.
.
.
Shukrani kwa mliosapoti mada
Tukutane kesho
Mwisho
.............
mkuu shukrani kwa top ten yako.. imetulia
 
2/Tuti Yusupova
548425ccda248859eb61788f3f562d1e.jpg
bcff1555857efadc13a22eaf242f169f.jpg

Alizaliwa kati ya mwaka 1880 au 1882
Alikuwa ni bibi wa Uzbekistan.....wakati anazaliwa nchi hiyo ilikuwa sehemu ya Urusi sijui koloni lao kiufupi inachanganya
Akishikilia rekodi ya mtu mzee zaidi duniani hadi pale alipofariki
Alifariki dunia mwaka 2015 akiwa na umri wa miaka 134 na siku 270
........
Duu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom